Recent content by kajagi

  1. K

    Bunge si LIVE TENA

    wewe mansakankanmusa,sijui kama umeelewa au basi tu unataka ubishi kwa mawazo ya mtu
  2. K

    Tume ya Maadili ya Viongozi - The Joke and the Joker!

    hii tahasisi sijui kazi yake,nilitegemea ingekuwa inaingilia kati kwenye swala la wabunge kutoa matusi
  3. K

    Ama kweli Lissu kakomaa kisheria AG ameishiwa pumzi

    Kumbe ha humu JF kuna wakurupukaji,alafu inatakiwa kutafakari kwanza ndio utoe mawazo yako,kuna watu hawajuwi kwamba ukiandika "No comment'' nayenyewe ni comment,Lissu anahaki maana katiba na muongozo vipo ila tafakari ya kibabe utasema anakiherehere.
  4. K

    wanaomjua john Cena anajiandaa kukutana na the rock. cena amekwisha

    Huyu jamaa atakuwa anaangalia sana recorded
  5. K

    Kwa nini wadada wanapenda sana hivi?

    itabidi nifanye utafiti
  6. K

    Kwa nini wadada wanapenda sana hivi?

    hahaha hii kali
  7. K

    Hivi mzee Bilali kazi yake ni nini hasa???

    kutembelea mbuga za wanyama na kufungua majengo mapya
  8. K

    Kufuru katika msiba wa bilionea Sambeke Arusha

    Quality ya hii ndege mbona inatia huruma
  9. K

    Matajiri wa Dar es salaam vs Arusha

    tatizo ni uhalali wa utajiri wetu,ukitaka kujua matajiri nenda TRA
  10. K

    maneno wanayosema mademu: hii ni kwa wanaume tu!!!!!

    ila kuna mengine mengi hayo niyakawaida
Back
Top Bottom