Insurgent
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 469
- 18
Ni kweli kabisa they are laughing us tunapopiga kelele, sioni sababu ya kuwaeleza watanzania kuwa hatuwezi kuwashitaki wezi wa EPA, sio wezi tu bali pia waliforge documents kwa kuogopa pesa yao.
nikiingia akilini mwao naona wanasema "Waache waseme mwisho watatulia, mangapi yamesemwa lakini hawafutilii tena na tukigombe tunashinda kwa kishindi"
Lakini siku za mwizi ni arobaini na za mwenyewe ni moja, one day yes tutawaonyesha kuwa we are people's power
Chuma kimepata kutu...ukikwangua sana kitakatika.