Recent content by kaiya

  1. K

    Wabunge wakomaa: Ngeleja, Jairo watakiwa kuondoka; Pinda ataka mjadala uahirishwe kwa siku 21

    Inawezekana kweli huyu katibu alitaka kutoa rushwa bila baraka za boss wake? mimi nafikiri wote wawili walitakiwa kuachishwa kazi.
  2. K

    Wabunge wakomaa: Ngeleja, Jairo watakiwa kuondoka; Pinda ataka mjadala uahirishwe kwa siku 21

    Nisome katikati ya mistari, usidandie train kwa mbele
  3. K

    Wabunge wakomaa: Ngeleja, Jairo watakiwa kuondoka; Pinda ataka mjadala uahirishwe kwa siku 21

    Kumbe maamuzi magumu yanawezekana! Thanks to Lowasa
  4. K

    Natafuta gari ndogo ya kutembelea

    th Na huu ushuru uliopanda kuanzia mwezi huu bado itamcost hela hiyo!
  5. K

    Kibano cha Ngeleja Bungeni: Hotuba ya Madini na Nishati 2011

    Hivi wanafanya mambo haya kwa ajili ya nini? au kwa faida gani? hawa watu hawaoni kuwa ukosekanaji wa umeme unachangia kushuka kwa pato la taifa. hawaoni kuwa maisha ya wanachi yanazidi kuwa magumu! serikali yetu kama kichwa cha mwendawazimu
  6. K

    Mh. Sitta kuendelea kukaa kwenye nyumba ya Spika Masaki ni halali?

    Kwa hiyo Mama spika anatuambia kuwa sitta ataendelea kulipiwa millioni kumi na mbili kila mwezi, mpaka mungu wake atakapomuita!! ni hela hizi hizi wanazotuchangisha walipa kodi au!!!
  7. K

    Libya yazima Mohammed Enterprises

    Hivi kumbe ghadaffi anatupa misaada ya kujenga misikiti!!! mimi hili nilikuwa silijui
  8. K

    Dr Slaa: Lowassa ni sehemu ya matatizo yanayoikabili nchi kwa sasa

    Nakuunga mkono mtu B, at least yeye kuna aliyoyafanya kwa muda ule mfupi mpk leo tunayahesabu. binafsi namshukuru sana kutumalizia kero yetu ya shekilango road. kama ingekuwa ni msanii Pinda mpaka leo tungekuwa tunaogelea kwenye yale mahandaki
  9. K

    Kikwete anasubiri nini kumfukuza kazi Ngeleja?

    Yani wew una akili kama mchwa, lol
  10. K

    Antivirus MixTape: Sugu awachana Clouds FM

    Wamesaidia kwa namna nyingine kuitangaza anti virus, hata ambao walikuwa hawajaisikia sasa wataitafuta waisikilize sugu kaimba nini?
  11. K

    Kweli Pinda mtoto wa mkulima

    Kaacha au wameachana??
  12. K

    Bilioni 30.9 ku upgrade ukumbi wa Bunge

    Hivi kwa nini haiwezekani kutokuwachagua tena hawa? manake mwenyekiti wao keshasema wanategemea ushindi wa kishindo mwaka huu.
  13. K

    Huyu Mpumbavu anaweza akasababisha maafa makubwa sana

    Huu mchezo hawa vijana wameshauzoea na wakati mwingine wananyonya mafuta askari wa barabarani wapo wanawaangalia tu. madereva na makondakta wao pia wanawaona hawakemei. barabara ya mandela ndio hasa kunakofanyika mchezo huu maeneo ya buguruni. siku ikitokea maafa (mungu aepushe) sijui...
  14. K

    Msiba Los Angeles - Mtanzania aliyepotea LA, akutwa amekufa!

    Very sad, my heart goes out to her whole family.
  15. K

    Brazil to play Tanzania in a friendly

    ooohhhhh 5
Back
Top Bottom