Umependa nini sasa? Nyumba ya wazazi wa Waziri Mkuu ilivyochoka?
Halafu katika nchi yenye watu 90% wakulima kuwa mtoto wa mkulima ni distinction gani? Ni kama vile unasema "Pinda ni mtoto wa Watanzania" what kind of distinction is that among Tanzanians? Kama anataka kutuambia yeye ni mtu wa kawaida na hana distinction then hawezi kuongoza, ataongozaje na yeye mtu wa kawaida tu asiye na distinction wala merit, distinction yake eti "mtoto wa wakulima" of all things.
...alisema yeye ni mtoto wa mkulima na picha inaonyesha kweli mama yake ameshika kuku...kuku wa kienyeji ni zao la kawaida kwa mkulima wa tz
Umependa nini sasa? Nyumba ya wazazi wa Waziri Mkuu ilivyochoka?
Halafu katika nchi yenye watu 90% wakulima kuwa mtoto wa mkulima ni distinction gani? Ni kama vile unasema "Pinda ni mtoto wa Watanzania" what kind of distinction is that among Tanzanians? Kama anataka kutuambia yeye ni mtu wa kawaida na hana distinction then hawezi kuongoza, ataongozaje na yeye mtu wa kawaida tu asiye na distinction wala merit, distinction yake eti "mtoto wa wakulima" of all things.
Pichani ni wazazi wa waziri mkuu Mizengo Pinda walipotembelewa na rais nyumbani kwao mpanda. Mimi nimeipenda nyie mnasemaje wakuu
Mix with yours
Ni kweli kabisa Mkuu nakuunga mguu tutakuwa omba omba mpaka lini?ikiwa Mkuu wetu anatembela Wazazi wa Waziri mkuu je kweli huko offisini kwake nani atafanya kazi? Au ndio kumefungwa mpaka arudi mkuu wetu toka Ziara ya Mikowa?kazi kweli na bongo yetu WAFRIKA BWANA NDIVYO WALIVYO EHHHWakati Mkuu wetu wa kaya anapokea zawadi ya kuku wa kienyeji, akina Al Gore wako bize maofisini kwa tija ya nchi yao...Halafu kesho tunakwenda kuomba misaada!
mama? baba? weka wazi watu watangaze nia? soroff topicHuyu ni kuku kuku au kuku wa sumbawangaaaaaa mpandaaaa?
nadhani message yako hujaiweka vizuri hivyo ujumbe wako haujatufikia vizuri, lakini kuna maana sana kubwa sana kwa viongozi wa sasa wa Tanzania na familia zao zinavyohishi, ukilinganisha na hiyo picha
Ni kweli kabisa Mkuu nakuunga mguu tutakuwa omba omba mpaka lini?ikiwa Mkuu wetu anatembela Wazazi wa Waziri mkuu je kweli huko offisini kwake nani atafanya kazi? Au ndio kumefungwa mpaka arudi mkuu wetu toka Ziara ya Mikowa?kazi kweli na bongo yetu WAFRIKA BWANA NDIVYO WALIVYO EHHH
Kaacha au wameachana??Al Gore yuko BIZE sana bana,,,yaani kaacha hadi mke?it's too much
Yeye ni mtoto wa mkulima, mimi ni mkulima mwenyeweUmependa nini sasa? Nyumba ya wazazi wa Waziri Mkuu ilivyochoka?
Halafu katika nchi yenye watu 90% wakulima kuwa mtoto wa mkulima ni distinction gani? Ni kama vile unasema "Pinda ni mtoto wa Watanzania" what kind of distinction is that among Tanzanians? Kama anataka kutuambia yeye ni mtu wa kawaida na hana distinction then hawezi kuongoza, ataongozaje na yeye mtu wa kawaida tu asiye na distinction wala merit, distinction yake eti "mtoto wa wakulima" of all things.
Mkuu nimecheka sana. Kama ulishaishi karibu na nyumba za hawa waheshimiwa utakubaliana na maneno red, Nakumbuka jirani yangu alikuwa wa kwanza kuletewa misamaki ile mikubwa na mboga mboga toka kwa wakulima wafungwa kwenye magereza.
Kwa hiyo?
Na mimi nasema ukweli kwamba mimi ni Mtanzania, kwa hiyo? Nipewe kitumbua? Wakati kina wanazaliwa nchi ilikuwa kwenye minyonyoro ya wakoloni, kuwa mtoto wa mkulima sio ajabu. Unaelewa? Kizazi cha Pinda hakukuwa na watoto wa matajiri!
Ulichokiona hapo kinaitwa fursa ya picha.
Kwenye siasa fursa ya picha ni tabia ya kiongozi kujitegesha, kukaa mkao wa picha itakayomjengea taswira ya kupendeza. Mara nyingi hutumika kujionyesha unajali kitu ama watu fulani. Hapo juu Rais anasafisha taswira, ya Pinda wake, na serikali yake kwa ujumla, kujifanya watu wa watu. Anauza sura.
Sasa, Rais anatembea na wapiga picha wakati wote, na kila analofanya linaweza kupigwa picha laiti ni nje ya msalani. Unaweza kusema yeye hawezi kuepuka fursa za picha. Lakini wananchi wa jamii zilizopevuka kisiasa, picha yeyote ya Rais ya kuuza sura inachukiliwa kwa punje ya chumvi, kwa tahadhari, kwa sababu tunajua anaweza kuwa anatafuta ujiko, awe amejitegesha au hajajitegesha. Haziheshimiki.
Na kibaya zaidi Kikwete mwenyewe anazikosea hizo fursa za picha. Anaenda kwenye misiba ya wake wa matajiri na mabalozi wastaafu. Anapiga picha akimpa mtoto peremende lakini yuko ndani ya Shangingi la Rais, hashuki. Muafrika humrushii chakula kwa mbali. Anapiga picha akipokea kuku nyumbani kwao Waziri Mkuu.
Wazazi wa Waziri mkuu sio wakulima wa kawaida tena! Tanzania ndugu za viongozi wanahudumiwa kiholela holela, hata hawa usikute ni mimi ndio nawatunza na kodi yangu. Wake watatu wa Rais, sheria zinasema nini kuhusu huduma kwa wake wengi, hata haijulikani. Si ajabu hiyo nyumba ya kwao na Pinda inapata ma Land Cruiser ya kuku na mchele kila siku, ma Fuso ya ma Simtank ya maji kila siku, na ma Defender ya FFU.
Ni rahisi sana kuwa kiongozi Tanzania, Afrika. Eti bado fursa za picha zinachota watu.
Thanks kamanda
ni yaleyale ya kumsifia simply kwasababu hajaiba sana hivyo nyumba yake ni chovu!!! kuwa mtoto wa kulima inakua abused these days wakati asilimia mia ya watanzania wana link ya moja-kwa-moja na wakulima
ni ufisadi tu ndio unasumbua
tuliulize sasa huko kuku kweli aliliwa na JK au ndio yale ya kuse pa mitego?