Habari wanajamvi
Mimi ni mfanyakazi katika kampuni binafsi(sio kubwa) kwa takribani miaka mitatu now
Nmeona nirudi shule na mwajiri wangu amekubali na kuahidi kunilipia ada na kunilipa mshahara nusu ntakapokua masomoni(sina hakika sana na maneno yake) Mi nmejipanga mwenyewe incase akizingua...
Mnao mlaumu Diamond hamjapitia aliopitia ,ndio sio vizuri anavofanya but muacheni mungu ndie hakimu nyie wenyewe mna dhambi ngapi ambazo hatuzijui
Fanyeni yenu waachieni mambo yao ya kifamilia
Wanaume ishini vizuri na wapendeni watoto wenu huwezi jua atakua nani baadae
Hata km umeachana na mama...
DINI katika mahusiano zina effect kubwa sana hasa mkiwa dini tofauti
Unatakiwa kuangalia mbali unapompenda mtu sio hapo mlipo tu mtaoana mtazaa hao watoto watafuata imani ya nani
Hapo ndo ugomvi huanza
Mimi nmeexperience wazazi wangu kua dini tofauti imeniaffect sana coz ilibidi nijibatize...
Bora umemwacha dada wa watu coz you don't deserve her
Humfai kabisa na wala hukumpenda atapata ampendaye
Mwanaume gubu na kisiran kaa nn
Sasa hapo kosa lake ni nn
Angekataa kwenda dukani ndo ungesema ana kiburi bt alienda
Jibu langu lilikua kwa mtoa mada na sio ww
Sijalaumu historia na wala cjasema biblia haijitoshelezi iko complete ndo mana inatusaidia up to now
na kuna historia pia ya biblia kama ilivo vitabu vingine vya kiimani ungejua hilo usingepata majibu ya maswali yako yote
Mi naamini ktk biblia kama...
Hii biblia tunayosoma sisi imechakachuliwa sana kutokana na kuitafsiri kwa lugha mbalimbali maana kamili hupotea
Biblia iliandikwa kwa kiebrania km sikosei baadaye tafsiri zikaendelea pia kuna hii king james version ambapo king james aliamuru biblia ibadilishwe kwa mtazamo wake yy so kuna vitu...
Yani cku hizi ukimkopesha mtu hela lazma ulie na ujutie mana kurudisha ni ngumu
Mtu akiwa na shida anakua na uso unatia huruma ukianza kudai chako anaanza maneno
Mi cku hz mtu akija kunikopa naanza kueleza shda zangu na mm ili tuwe ngoma droo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.