Nahisi sina bahati ya kupendwa

Nahisi sina bahati ya kupendwa

nimeshatafuta sana ila napata za kubadilisha mboga tu,na umri umeenda mkuu siwezi kusubiri zaidi ya hapa.

Mmhh usije ukambaka mbuzi tu:becky:

siwezi kubaka mbuzi mkuu ni bora nikanunue kwa wale wanaojiuza
 
30 is the number man. The number you become the one eligible mudhafreezing bachelor around. Chics should be chasing you when you on that number, and not the other way round. See you when I get there.

Yeah I love it! sasa awekeze kwenye kuongeza kipato kwa vimiradi vidogovidogo, then ni kama kuku kumtayarishia mahindi tuu watakuja tuu tena wale wenye uhitaji wa mahitaji ya ndoa.
 
Je wewe una bahati ya kupenda? kwa dhati au upo upo tu- maan isije kuwa wewe unataka kupendwa tuuuu.
 
Kuwa bad boy utampata...mademu hawataki mtu mpolempole.

Angalia wenzako walioa wana sifa zipi utagundua sio kama wewe.

Mademu wako soft so wanataka mutu ngumu.

Umesikia wanataka mitulinga.
 
Habari zenu wakuu,

Nimekuwa nikisoma post za watu wengi humu Jf na wakati mwingine kuchangia,kwa kweli kuna mambo yananichanganya sana mpaka najiona sina bahati ya binti wa kujenga nae maisha,nilikuwa na mchumba ambae nilidumu nae kwa mda wa miaka minne na tulikuwa na mipango ya kuoana ila badae wazazi wake walikuja kwenda kumsomesha mkoa mwingine na amemaliza kusoma na sasa anafanyakazi huko nakuishi huko.

Miaka mi3 imepita sijamuona na amekata mawasiliano kabisa. Nina umri wa miaka 32 na nimeshapata wachumba zaidi ya 7 ila huwa wananiacha katika hata bila kugombana,sivuti sigara wala sinywi pombe ya aina yoyote pia kipato changu ni cha kawaida tu. Umri unaenda nahitaji kuwa na familia yangu ila sijapati mwanamke aliyesiriazi na maisha.

Je, nitakuwa nakosea wapi wakuu?Izingatiwe imepita miaka mi3 sina mchumba anayeeleweka sababu huwa wanabadisha uamuzi wa mwishoni? Au nitakuwa nimeumbwa niwe single tu nini?

Ushauri plz

Nina mikosi kama yako njoo tuungane tusolve huku tuproblem
 
Kwenye swala la kusimamia kucha make sure upo vizuri
Be a bad boy

wewe uko vizuri....kuna kipindi nilishajaribu kuwa good boy kwa kamrembo kamoja hivi...akawa ananisumbua..nikachoka nikarudi kwenye uorijino wangu wa u bad boy...yaani nikamlamba kiulaini tena sehemu isiyo rasmi kabisa....akili zenu mnazijua wenyewe!!!
 
wewe uko vizuri....kuna kipindi nilishajaribu kuwa good boy kwa kamrembo kamoja hivi...akawa ananisumbua..nikachoka nikarudi kwenye uorijino wangu wa u bad boy...yaani nikamlamba kiulaini tena sehemu isiyo rasmi kabisa....akili zenu mnazijua wenyewe!!!

Bad boy ndo tunawapendaga sana, ukileta swagg za kilokole inakula kwako Oooh mi mpole sivuti sigara sinywi pombe ooohhh my dia nenda kalitumikie kanisa
 
Bro tatizo lako unalalamika sana. Yaani kusoma hizi comments zako tu nimekujua kama mtu wa kulalama tuuu


alafu anaonekana hana moyo wa kutoa,anaonekana bahili sana,mwanamke huwatosa wanaume bahili cos wanajua hata wakiolewa nao hawatapata matunzo au hata watakuwa wagumu kutoa hela kwaajili ya mambo ya nyumbani,..
 
Kaka nikutie moyo, hauko peke yako mimi Nina miaka 31, kipato changu cha kawaida lakini mahusiano imeshindikana. siko kwenye mahusiano yoyote....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom