Kufanya kilimo ni fresh kwa ajili ya kujiingizia kipato, ila alitakiwa asi-abandon taaluma yake namna hiyo, tena angejua code ina future dah, maana tunakoelekea ni kwenye automation ambako maprogramer kama yeye watahitajika.
Hivi hizi APTITUDE TEST si ndio ile mitihani yenye maswali ambayo yanakua hayako focused kwenye Kada husika? Mfano Mtu wa Computer Programming badala ya kumuuliza vitu ambavyo ni Programming related unamuuliza maswali ya Civics?
Dah! Nimekuja mitaa hii ya Corner Bar zile mishemishe zilizokuepo hakuna tena, nimejivuta mpaka LA CHAAZ PUB nako pamoja na muziki mzuri ila ndugu zetu hawapo, mi sio mteja lakini huwa napenda kunywa sehemu wanapokuwepo, nna-enjoy kuwaona. Acha niende home tu nahisi na bia hazitakwea tena.
Yeye mwenyewe utakuta wala hajihangaishi na yako, kwanini usiombe akuongezee salio, na shida yako sidhani kama ilikua kupiga simu, ilikua ni kukagua simu,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.