miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
una hela mkuuNaomba nikuoe kama bado hujaolewa mpendwa.
una hela mkuuNaomba nikuoe kama bado hujaolewa mpendwa.
Ni pouwa dogo languDada wivu huo veep
Hela si tatizo mpendwa, karibu sana katika himaya yangu ufurahie upepo mwanana unaovuma kwa wingi wa pesa. Ni pm mpendwa uanze kula pesa mapema.una hela mkuu
Halafu mmefanana kweli
[emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Halafu mmefanana kweli
Kabisaasubiria wakwako hajazaliwa,ndo anaumbwa,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaaa,unaweza vunja kiuno ukidhani unaweza kufikiriwa kumbe wala
Wewe ke au me?Wanaume wanaompinga mleta mada bado akili zenu hazijawaza ndoa na kutulia chini kuanza maisha.
Bado mpo kwenye kuwaza performance ya kitandani ndo kila kitu kwa mwanamke.
Mauno ya kitandani hayalei watoto wako,,hayawapi wanao maadili mema,hayakupikii chakula,hayakuandalii mahali pa kulala upate kupumzika wala hayakuandai wewe unapotaka kutoka
Kama ni hivo wanawake wengi wangekua walio wazuri kitandani washaolewa,magogo yamebaki yanahangaika kujifunza mautundu.
Ndoa is beyond viuno kitandani..
Ndo uoe sasaBado
[emoji28] [emoji27] siyo vizuri hivoHalafu mmefanana kweli
[emoji23] asee sja tendewa haki apo[emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
huyo ni mwanamke ninavo juaWewe ke au me?
Avatar yako inanifanyaga nidhani kua ni ke siku zote [emoji23][emoji23][emoji23]
sawa mkuuHela si tatizo mpendwa, karibu sana katika himaya yangu ufurahie upepo mwanana unaovuma kwa wingi wa pesa. Ni pm mpendwa uanze kula pesa mapema.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanawake tutakoma.Asa tutafanyaje..wao sindo wanaoa.Hamna ubishi.ndugu mtoa mada, kuolewa mbona kunawekewa masharti mengi hivi..kila wiki humu mmu mara thread hii mnasema mwanamke ukitaka uolewe fanya hivi mara fanya vile kwani kuolewa imekuwa kama masharti ya kutoka kwa mganga jamani
Ahsantee kwa kunisaidia kujibu.huyo ni mwanamke ninavo jua
a beautiful girl
sema tu kaielewa mada fresh
[emoji28][emoji28][emoji28]ushaona eh.kila siku Lazima thread za ndoa na wanawake.Mara sjui makabila ya kuoa.sjui wanawake wachagga hawapendi kutuma full pic.Mara kuosha K,Mara waliosoma hawafai kuolewa..loh!Mbona wanaume mnawaza sana utazani nyie ndo mnakosa ndoa? Kwa yanayoendelea humu inaonyesha wanaume wanauhitaji wa ndoa kuliko wanawake .
Itabidi[emoji3]..Hamna namnadawa ni mgomo