Acha mifano yako,twende kwenye mada na zaidi ujijibu swali lako.kuwa anatokea wapi?Kila eneo na tamaduni zake, mfano Iringa wanaume wanapiga magoti.
Ndiyo maana nimeuliza sababu simjui, wewe unatakaje?Acha mifano yako,twende kwenye mada na zaidi ujijibu swali lako.kuwa anatokea wapi?
Itakuwa ndiyo wewe huyo RC au siku hizi umetupwa njeMajungu tu haya. Huna lolote
Milele sifanyi huo ujingaUmekosa la kuandika raisi ni mtu makubwa sana na
ukubwa tumempa sisi wa TZ hata Mimi na wewe tukikutana naye lazima tufanye hivyo
Simply hakuna kabila lenye utamaduni wa namna hiyo hapa Tz,wenye tabia hizo wanajulikana ni wale wanaotaka kulinda vyeo kwa style ya kondoo!Ndiyo maana nimeuliza sababu simjui, wewe unatakaje?
SawaSimply hakuna kabila lenye utamaduni wa namna hiyo hapa Tz,wenye tabia hizo wanajulikana ni wale wanaotaka kulinda vyeo kwa style ya kondoo!
Umekosa la kuandika raisi ni mtu makubwa sana na
ukubwa tumempa sisi wa TZ hata Mimi na wewe tukikutana naye lazima tufanye hivyo
Samahani Gu dume, hv yule dume suruali wa humu jf ni ndugu yako?Ukimwangalia mkuu wa mkoa wa dodoma bwana jordan rugimbana jinsi anavyojichekesha na kuinama kwa woga unagundua ni aina ya wale watu ambao ni wazuri sana kwa kujipendekeza kwa wakubwa.
Muone alivyomshikiria dr magufuli kwa mikono yote miwili yaani hapo kidogo tu angepiga na magoti. Ukiangalia juu juu unaweza sema ana heshima sana kwa rais. Hapana.ni unafiki na kujikomba.hapo chochote atakachosema rais yeye atacheka tu na kuitikia. Hawa ni watu ambao huwa wanaish kwa hewala bwana...
Kama ni heshima nenda kaombe kazi au kafanyiwe interview na watu wenye akili zao halafu uwe unacheka cheka unainama hivi ili wakuone una heshima wakupe kazi. Haya utayaona sana nchi za afrika.nchi za watu huko huyaoni.ni sisi tu binadamu tunafanya hivi.
View attachment 500789