Kaka yangu alifariki Jan 2017. Mei 2017 mirathi ilifunguliwa mahakama ya mwanzo Temeke. August 2017 hundi za pesa za mirathi ziliwasilishwa mahakamani hapo kwa ajili ya kugawiwa kwa wahusika. Tumefuatilia mahakamani hapo hadi Dec 2017 wakasema faili wamepeleka mahakama ya Wilaya Temeke na kwamba...
Yaani ume hit penyewe!! Mwenye hoja nzito amjibu everhurt!! Kuna watu wana stereo type kuhusu single parents!! Wengine hata maana sahihi ya hilo neno hawajui!! Nimeipenda hoja yako!!
Nilifundishwa na mama kuingiza kwenye akili yangu mazuri ya watu na vitu!!! Wakati nafarijika na uamuzi mzuri wa Mh. Rais, pia natafakari mazuri yote aliyoyafanya Prof. Muhongo!! You did your best!! Nenda Prof.!!!
Kuna comments humu unaweza kuogopa!! Tumetoka kabisa kwenye mada baadhi yetu na tunaeleza mitazamo yetu hasi dhidi ya imani za wengine. Tunaweza tusijue, lakini hilo ni jambo baya kulikoo!!!
Kimsingi mtoto ni wa mume wa mzazi mwenzio. Wewe ulichangia mbegu tu. Sperm donor!! Kama unaguswa na hali ya mtoto, tumia hao hao ndg mwanamke kupanga matunzo ya mtoto bila mume kujua. Unaweza kuwa kama mfadhili tu na mtoto akasoma katika mazingira bora na kukua vizuri. Mengine acha muda uamue...
Na wengine wanajuwa hayo madhira yote na wanakuwa tayari ili muradi kuna pesa. Tuna taarifa za wasanii na wadada maarufu walioenda arabuni kisa tu kuna biashara fulani ya hovyoo inalipa huko zaidi kwa sababu haipatikani kwa wenyeji. Tufikie hatua ukweli usemwe ili tutatue tatizo. Nachukia kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.