Negan The Dead
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 340
- 994
Hilo ni wazo zuri kutegemea na muktadha wa mahali mlipokutana.Kwa mfano tumekutana club, gonga heinkein zetu tunacheza nyimbo ya kitambaa cheupe huku nakamatia sambw..nda.Haluafu tunafika Gheto eti unasema mpaka tuoane, lazima nidai maana mazingara tuliokutana ni ya mautamu.Haya tumekuta kanisani kwenye kipindi cha maombi, unafikiri naweza hata kukushika mkono??, nitasubiri mpaka wote tuseme I do 3 times.mi sitaki kugongwa kabisa labda usiwe muoaji ukiniambia mambo ya ndoa itabidi usubirie ndoa