Mchumba hataki kusex anataka kulipa mahari

mi sitaki kugongwa kabisa labda usiwe muoaji ukiniambia mambo ya ndoa itabidi usubirie ndoa
Hilo ni wazo zuri kutegemea na muktadha wa mahali mlipokutana.Kwa mfano tumekutana club, gonga heinkein zetu tunacheza nyimbo ya kitambaa cheupe huku nakamatia sambw..nda.Haluafu tunafika Gheto eti unasema mpaka tuoane, lazima nidai maana mazingara tuliokutana ni ya mautamu.Haya tumekuta kanisani kwenye kipindi cha maombi, unafikiri naweza hata kukushika mkono??, nitasubiri mpaka wote tuseme I do 3 times.
 
Jamaa naamin anadindisha na anapiga gemu kabsa..., ila kaamua tuu kuchuna, harafu mbona posibo kabsa kulala na demu na usipige mzigo kama hujaamua...
 
Si ameyataka mwenyewe
Aombee tu baada ya ndoa akutane na matarajio ya moyo wake.
Hiyo decision ya no sex mpaka ndoa inatufaa sisi wa kujitoa mhanga!!! Yaani tupo tayari kwa chochote... Mlenda, bamia, bilinganya, tango, fenesiiii...
 
Huyo jamaa anadhani bi dada yupo kumpima uvumilivu wake wa mitego ya ngono.

Huyo mwanamke anatia shaka nae uwezo wake kitandani, mwanamke utashindwaje kumtega mwanaume uliyelala nae kitanda kimoja, kama huwa analala na dela au suruari mwambie aanze kulala na pichu tu tena alkweke mashuka mengine libaki moja tu ambalo wajifunike pamoja, usiku ajifanye mlala vibaya amtundike jamaa upaja katikati ya miguu yake. Ajifanye anasikia baridi amkumbatie jamaa kwa nguvu yeye akiwa mbele jamaa kwa nyuma kiubavu.....jamaa akichomoka hapo kweli ana Mungu wake
kama mimi ndo huyo jamaa milalo yenyewe ndo hiyo kabla ya kulala valium itahusikA+sindano ya ganzi
 
Si ameyataka mwenyewe
Aombee tu baada ya ndoa akutane na matarajio ya moyo wake.
Hiyo decision ya no sex mpaka ndoa inatufaa sisi wa kujitoa mhanga!!! Yaani tupo tayari kwa chochote... Mlenda, bamia, bilinganya, tango, fenesiiii...

Ww kweli uliaga kwenu na mbuz ukachinjiwa
Kabisa

Ngoja niandae barua hapa
 
Huyo jamaa anadhani bi dada yupo kumpima uvumilivu wake wa mitego ya ngono.

Huyo mwanamke anatia shaka nae uwezo wake kitandani, mwanamke utashindwaje kumtega mwanaume uliyelala nae kitanda kimoja, kama huwa analala na dela au suruari mwambie aanze kulala na pichu tu tena alkweke mashuka mengine libaki moja tu ambalo wajifunike pamoja, usiku ajifanye mlala vibaya amtundike jamaa upaja katikati ya miguu yake. Ajifanye anasikia baridi amkumbatie jamaa kwa nguvu yeye akiwa mbele jamaa kwa nyuma kiubavu.....jamaa akichomoka hapo kweli ana Mungu wake
Mdada anahitaji kungwi huyo!!! Mwanaume ukimpumulia shingoni/sikioni tu, mashine inakua turned ON!!!
 
Si ajabu shost ameshaanza kuchakachua route,daladala ya goms yeye anaelekea bagamoyo,alafu unaamnin mtakutana goms
 
aache kusumbua watu... si kataka mwenyewe... alitumwa kuficha papuchi mwanzoni kwan...!!!!
 
Anataka atest mzigo asije kuuziwa mbuz kwenye gunia bure ndoa ikawa chungu
 
kama wakati wamelala wote haikudinda .. sababu wanaume wanadinda usiku na asubuhi lazime kiwe mnara kama yupo lijali kweli.. sasa mwenzangu mmelala hata kudinda kwa asubuhi hakupo teh hata me ningetaka kujaribu kukutana na kidudu kimelegea mpaka ukisokomeze na kidole na hana mikiki sababu akijivuta tu au ukapiga chafya kimechomoka ote mae ajaribu tu
hii kesi utaijibu kesho... umejuaje.. ngoja nilale kwanza!
 
Back
Top Bottom