Mbegu wanayoipanda karibu inaota wasifikiri kwamba Tanzania ipo mbinguni tunaomba mungu apishie mbali.Lakini hawatakwepa lawama.Labda wanatengeneza uraisi wa maisha.
Ni wakati wa kubadilisha katiba tu.Mwarubaini ni hiyo ndiyo itaua vimemo vya kutoka Magogoni kwenda kwa mawaziri.Je na wabunge wa chama tawala wanajifunza nini?
Kaanze na Wasira Mbowe ajawai kuongoza nchi.Hata CCM nao nusu karne hawana jipya sasa.Waachie ngazi.Kubadilisha watu lakini siasa ni zile zile zilichoka,haziwezi kuifanya CCM kuwa mpya.Chupa mpya mvinyo wa zamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.