Mi Niko ma tabia Kama hizo siwez kukaa na demu permanent mi ni eat n run na hara marafik Sima permanent niliokoka na penyewe nikashindwa.Inafikia wakati hata jina langu nalichoka kifupi cjielewi kabsa
Hii story ungeiweka katika movie ungetisha mkuu dunia nzima wangetujua watz kua na sisi tunaweza.Hadith Hii IPO level za prison break,24hours.Hongera mkuu keep it up
Mzaramo,yusuph manji kasema hawezi subiri folen YA watu 65hivyo ataenda kesho kuhojiwa.Sa mkuu c na wewe ushushe vitu Leo ili ijumaa uende kuhojiwa pasipo malalamiko yetu maana Kila mda tunaperuzi Lakin hujatupia kitu na matatzo haya yameanza toka makonda alipotoka na orodha yake.Ndo ukaanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.