Mchana Mchana nashusha nyingine mkuu.
Wasiwasi usiwe nao.
Jana ulisema , Leo asubuhi ungeweka episode 3, ukaweka 1, mchana unasema ungeweka 1, hadi sasa kimya, kulikoni?Mchana Mchana nashusha nyingine mkuu.
Wasiwasi usiwe nao.
sawa mzaramoKuna matatizo ya kiufundi kidogo wakuu....Ila kesho asubuhi tunashusha episodes 3 kwa mpigo.
hahahhhhvipi Mzaramo , na wewe umeitwa ?, au ndio wale wenyeviti wa mitaa.
kwahyo mzaramo nae yupo kwenye list ya makonda hahahhhMzaramo,yusuph manji kasema hawezi subiri folen YA watu 65hivyo ataenda kesho kuhojiwa.Sa mkuu c na wewe ushushe vitu Leo ili ijumaa uende kuhojiwa pasipo malalamiko yetu maana Kila mda tunaperuzi Lakin hujatupia kitu na matatzo haya yameanza toka makonda alipotoka na orodha yake.Ndo ukaanza kuweka kwa kusuasua
Hatari saaanakwahyo mzaramo nae yupo kwenye list ya makonda hahahhh

Mzaramo yumo Nina uhakika asilimia mia.We huoni watu tuna arosto za kufa mtu.Kila wakati tunachek kama kaweka lakin tunaambulia patupukwahyo mzaramo nae yupo kwenye list ya makonda hahahhh
tupia sahv mkuuSamahani wakuu....kuna vitu havipo sawa kidogo.
Ila In Shah Allah kesho kutakuwa na muendelezo.
Shukran nyingi kwako ndugu yangu huwa unatimiza ahadi zako hadithi inavutia sanaNalogo wa ukae sweet lishers Madam G hill and portion Guasa Amboni dagii Agynasa AHA IKOWA ibra87 kinywanyuku Lagata Bigjahman Sakayo sverige Mbimbinho White party bato Pritty wa joseph mbere aggyd HITLER pachachiza KORBOTO M.I.E dochivele Kijuram Neyjerry nzalendo Field Marshal Mine eyes shyja bato ndelia Vivac Kitena COMRADE 07 City owl Neriah mbere
Riwaya mpya mzigoni wakuu.