Recent content by Kageo

  1. K

    Nahitaji Rafiki wa kiume

    Umeshapatdymilly, post: 14340453, member: 321605"]Nahitaji rafiki wa kiume wa kubadilishana nae mawazo kipaumbele cha kwanza awe na Elimu 2.Elimu 3.Elimu pia umri aanzie 28 nakuendelea karibuni Umeshapata njoo pm
  2. K

    Urekebishaji ADA kwa shule za Private Serikali ifanye kwa umakini mkubwa

    Mm nikuunge mkono kws wasiojua wanadai kuwa shule hazifanyi biashara ila ninachojua mimi.na ukweli shule zote za private zinapaswa kuwa na lesseni ya biashara na pia sasa kuna order ya TRA inayoagiza shule zote za private zitumie mashine za EFD hii ina maana kuwa serikali imeharalisha kuwa...
  3. K

    Natafuta kazi, nisaidieni

    Sawa nimekupata vizuri, oky sawa ninampango wa kuanzisha ofisi muda mfupi ujao itahusika na mambo mengi iliyopo inahusika na credit and finance. Sasa lengo ninataka kuongeza biashara ya bima na debt collection ninadhani utanifaa ofisi itakuwa wilaya ya temeke unaweza tuma application ili niwe...
  4. K

    Natafuta kazi, nisaidieni

    Sawa nimekupata vizuri, oky sawa ninampango wa kuanzisha ofisi muda mfupi ujao itahusika na mambo mengi iliyopo inahusika na credit and finance. Sasa lengo ninataka kuongeza biashara ya bima na debt collection ninadhani utanifaa ofisi itakuwa wilaya ya temeke unaweza tuma application ili niwe...
  5. K

    Natafuta Mdau wa Bima

    Ndugu zangu, nina mpango wa kuomba uwakala w Bima, na kufanya kazi hiyo. Sasa kwa mujibu wa matakwa ya sheria ni lazima awepo mwenye skills za bima. Mimi namtafuta mtu mwenye utaalam wa mambo ya bima awe na vyeti tushirikiane mm nitatoa gharama za deposit, kwa mujibu wa sheria na gharama zote...
  6. K

    Natafuta kazi, nisaidieni

    Nilikuuliza kuwa uzoefu wa sales and promotion umeupata wapi au branding pia ambao umesema unao umeupata wapi. Suala la mwisho nilikuuliza unaishi wapi kwa sasa
  7. K

    Natafuta kazi, nisaidieni

    Umesema unauzoefu wa sales na promotion je umeupatia wapi. Alafu kwa sasa specific unaishi wapi. Unaweza ukanijibu hapa hapa nikiridhika nitaku pm
  8. K

    Bango la walimu kwa shemeji yao Rais Kikwete

    Nimekuunga mkono ujumbe mzito sana kwa kweli inapaswa kuufikiria kwa umakini sana kabla ya kuujibu.Tuwape hongera sana walimu
  9. K

    Kipi bora kati ya kwenda jeshini na chuo kikuu kwa mtu aliyesoma science

    Mimi nakushauri sana nenda kwanza kazini unajua watu wengi mnadanganyana kwa kuwa hamjui nini kipo jeshini labla mm nichukue muda huu kukuelimisha kwani nipo Jeshini kama affliated member Unaenda kwanza kwa mujibu miezi 6 hii ni lazima uende then ukirudi unatakiwa utumikie Jeshi kwa muda...
  10. K

    Mwanamke na mwanaume hakikisha umepita hapa

    Hivi leo simba wanacheza na Lambalamba? :teeth:
  11. K

    Vijana tusiokuwa na kazi njoo tukutane hapa tujipange

    Kwa wale Vijana wenzangu ambao bado wanatafuta kazi kama mimi nashauri ni vema tukakutana tujadili namna gani ya kuweza kujiajiri. Binafsi nimefikiria tunaweza kufanya kazi nyingi sana kwa kusaidia na mwisho tukatoka Katika vijana ninaotafuta kukutana nao wanatakiwa kutoka maeneo yafutayo...
  12. K

    Hausegirl katushika pabaya

    mimi nadhani tufike mahali tuache kuilaumu pombe. tujilaum,u wenyewe, hebu fikiria umetoka na mtu mmeenda club hapo napo pombe inahusikaje wakati bado hujanywa hapo wote mnaakili safi, mnakunywa pombe mnacheza mziki kwa kukumbatiana then mnavutana hadi hapo bado unalaumu pombe nadhani akili...
  13. K

    NMB na Tigopesa

    Hakikisha sms yenye ujumbe wa kuhamisha fedha huifuti na kama hadi kesho itakuwa bado nenda kwenye tawi lolote la NMB wape sms
  14. K

    Kigwangalla aja na KIGWANOMICS Je! Ni kitabu Bora au Laa!?

    Mimi nimesoma uchumi pale Mlimani na kumaliza mwaka 2005, ninapata shida sana na jina la kitabu lakini napata shida niweze kutafsiri jina la kitabu kwani najua ECONOMICS linaundwa na maneno mawili sasa hili lake linanipa shida na je maana yake itakuwa sawa na neno la economics. Anyway ngoja...
  15. K

    Mishahara Jeshini, inatolewa kwa kuangalia umri wa kazi au Cheo cha Askari?

    hapo hatuna mwanajeshi kabisa sijui atakuwa amekula maharage ya wapi, ninapojua mm mwanajeshi kuna mbinu wanasema "Sacrifice" tafuta mwenye elimu ya Jeshi umuulize usipende kuuliza mishahara tu
Back
Top Bottom