fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,073
Kweli hii ni serikali ya kishikaji, hadi shemeji zake wanataka aseme atawaachaje
wameshindwa kujitambua na kupambana dhidi ya anayewatesa,Leo wanamwita shemeji MTU zero kabisa,badala ya kudai khaki wanaendekeza ushemeji ili wapate hisan,HV kila aliyeoa mwalim ni shemej Wa walimu?mbona kuna walimu wameoana,nan shemej ya nan hapo?kuna shule Mbez kwa musuguri Mei mosi walilazimishwa kufundisha hadi saa 8 mchana na wakakubali.je wataweza kufundisha watoto juu ya ukombozi?kama siyo janga nini sa sa?
Amakweli sisi walimu tu shemeji yake. Ndo maana......!
Kubali uskubali walimu ni janga jingine hapa Tz.
Kwa hiyo nini kifanyike??.
lianzishwe vuguvugu la kuwaamsha walimu kupambana na unyanyasaji serikalini na shule za binafsi,wakishajitambua watachukua hatua madhubuti,wataachana na ujinga na watafundisha elimu ya ukombozi kwa watoto,Leo mtoto anaona Bango kama like la shemeji je anajifunza nini?
Reli imekufa.barabara ndio hovyo zinajengwa chini ya kiwango.ufisadi ndio umekua kama sera ya serikali.watu wanagawana ela tu na wakiulizwa wanajibu wanazo nyingi tu' na hakuna mamlaka ya kuwashughurikia na kwa sababu hata mamlaka iliyopo nayo ni ya mfumo huo huo, hapa nani atamshugurikia mwenzie kwa kweli shemeji cjui unatuachaje, au ndio tuendelee na haya maisha bora uliyotuaidi?