Natafuta kazi, nisaidieni

Natafuta kazi, nisaidieni

Kwann usiendelee na shule? Kama ulifeli form four lisiti ili upate vyeti vizuri. Hiki cheti cha hotel management bhana inaweza kuwa utata kwa soko la ajira lilivyo sasa.

Mkuu kuendelea na shule nataka ila kikwazo ni pesa na mm male go yangu nipate hela nijiendeleze kielimu
 
Habari za humu ndani wakuu, mm mwenzenu narudi tena kwa Mara nyingine kuomba msaada was Kaz kwa mwenye uwezo wa kunisaidia,
wasifu wangu: mm ni msichana mwenye umri was miaka 23 Nina certificate ya hotel management but Nina uzoefu sana pia kwenye sales and promotion, pia Nina uwezo was kuongea na kuandika kingereza na kiswahili na najua computer pia. kwa heshima na taadhima naomben msaada wenu, kama kuna kazi nyingine pia halali Niko tayar kufanya..
Shukrani sana mbarikiwe sana

Siku hizi ajira imekuwa janga kila sekta. Nikutie nguvu binti...usikate tamaa, ukiwa unasubiri bahati yako jishughulishe kwa chochote karibu yako kitakachokuingizia kipato. Lakini zaidi sana tumia KURA YAKO vizuri October.
 
Habari za humu ndani wakuu, mm mwenzenu narudi tena kwa Mara nyingine kuomba msaada was Kaz kwa mwenye uwezo wa kunisaidia,
wasifu wangu: mm ni msichana mwenye umri was miaka 23 Nina certificate ya hotel management but Nina uzoefu sana pia kwenye sales and promotion, pia Nina uwezo was kuongea na kuandika kingereza na kiswahili na najua computer pia. kwa heshima na taadhima naomben msaada wenu, kama kuna kazi nyingine pia halali Niko tayar kufanya..
Shukrani sana mbarikiwe sana

Kuna nafasi ya kazi Catholic Relief Service,mwisho tarehe 12/8/2015! Inakufaa,ingia kwenye website yao,au google utapata.....
 
Umesema unauzoefu wa sales na promotion je umeupatia wapi. Alafu kwa sasa specific unaishi wapi. Unaweza ukanijibu hapa hapa nikiridhika nitaku pm
 
Habari za humu ndani wakuu, mm mwenzenu narudi tena kwa Mara nyingine kuomba msaada was Kaz kwa mwenye uwezo wa kunisaidia,
wasifu wangu: mm ni msichana mwenye umri was miaka 23 Nina certificate ya hotel management but Nina uzoefu sana pia kwenye sales and promotion, pia Nina uwezo was kuongea na kuandika kingereza na kiswahili na najua computer pia. kwa heshima na taadhima naomben msaada wenu, kama kuna kazi nyingine pia halali Niko tayar kufanya..
Shukrani sana mbarikiwe sana
Niko Dar es salaam

Unajua kuendesha gari? Kama ndio nichek
 
mie niko tabata sanene hapa ni pm nikuowe tuu maana nawatafuta sana watu kama nyie mliyosomea hotel mgt
 
Mkuu wanaona raha kuwakejeli watoto Wa wenzao ila na Wa kwao watakuja kufanyiwa HV, what goes around comes around, na huyu atakuw muhaya maana ndo zao

Acha kashifa... Usi generalize kila kitu. Kama muhaya ndo ana kazi na amekuona unafaa unadhani atakuchukua akisoma comment hii?..... Mambo mengine tunajiharibia hvi hvi.
 
Acha kashifa... Usi generalize kila kitu. Kama muhaya ndo ana kazi na amekuona unafaa unadhani atakuchukua akisoma comment hii?..... Mambo mengine tunajiharibia hvi hvi.

nisamehe Mkuu kama nimekukwaza kwa comment hiyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom