Hapo inaonesha ni jinsi gan ulivyo na chuki na kampuni ya Shabiby kwa sababu Shabiby hana route ya Dar~Arusha asa ww umepanda lin iyo Shabiby ya Dar~Arusha
Mwendokasi zipo xawa lakin kumbuka hakuna mwendokasi ya moja kwa moja kutoka mbez hadi muhimbili au mbezi had gerezan lazma upande hadi kimara sh 400 then ukapande nyingine mia 650 kuelekea town asa.Wakati daladala za kawaida zilikuwa zinatoza naul ya shilling 600 had muhimbil lakin ukiangalia...
Ni siku ya tatu hii Sumatra wameondoa root ya Daladala za Mbezi-Muhimbili. Je! Wanamsaidia mwananchi wa kipato cha chini kwa hali hii??
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kuona wanapwaya katika kupeluz na kudadis hatimaye Clouds fm wameamua kumrudisha Paul James maana walikuwa wameyumba ila kwa mtazamo wang naona badoo pengo la Gerald Hando bado linaonekanaa
Kama ww ni mtumiaji wa haya mabasi ya mwendo kasi utakuwa shaidi kwa kweli vituo ni vichafu vikifagiliwa asubuhi ndo ntolee iyo,vioo nadhan havijawah hata kuoshwa toka walipoanza kutoa huduma labda wasaidiwe kwa msaada wa mvua ikinyesha pia magar yamejaa vumbi ukiweka tu mkono dirishan kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.