Trayvess Daniel
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 705
- 1,368
Napingana na wewe bado hawajaboresha kiasi cha kutosha route ya muhimbili mbezi.... utaratibu wa kupanda gari kwa foleni unasumbua sana foleni ikiwa ndefu pia gari za muhimbili gerezani ni usumbufu mkubwa asubuhi unafika fire gari hamna......Mkuu hapo napingana na ww,kumbuka mwendokasi haipotezi muda mwingi njiani tofauti na daladala zinazosimama kila kituo,it takes about 30 mns from Kimara to Fire,na pale Fire gari ni nyingi ukisubiri sana ni dakika kumi tu unafika muhimbili dakika tano.Ndani ya lisaa limoja unakuwa tayari uko Muhimbili.Kumbuka nauli hulipi tena,unatumia ticket ile ile.Cha msingi ni kuondoa usumbufu wa kutoka Mbezi hadi Kimara na kurudi Mbezi ,otherwise huu utaratibu utakuwa poa sana,unapunguza muda unaopotea kwenye daladala na Dsm itakuwa nzuri ikiwa mwendokasi utatamalaki jiji zima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jioni mwendokasi inasumbua sana wengine hatupendi kubadili magari bora upande moja hadi mwisho sababu ukifika kimara mwisho kwenda mbezi foleni ipo palepale na morogoro road foleni sio kama zamani
Wanachofanya ni udikteta pesa yangu kwanini unipangie aina ya usafiri????? Tunatawaliwa na viongozi wenye utapiamlo wa kufikiri, hovyo sana... sijui wanategemea hao matajiri wa magari na waliowaajiri wakale wapi. Nchi imekua ya kipumbavu sana hii ukifatilia kila kitu unaweza pata msongo wa mawazo bila kujijua.
Uzalendo my ass.