SUMATRA yaondoa gari za Mbezi-Muhimbili

SUMATRA yaondoa gari za Mbezi-Muhimbili

Kimara mbez kuna tatizo bado,kwingineko nadhan wamejitahid na kupunguza folen ni matunda ya mwendokas,matatizo ypo lkn kna unafuu,wakati mwingine tupongeze yale mazuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Siwezi kupongeza kuzuia route ya mbezi muhimbili sababu bado hawajaboresha kiasi cha kutosha foleni ya kuingia mwendokasi muhimbili foleni ya mwemdokasi mbezi bado hujapambana kupata gari ya kimara fire watu ni wengi bado foleni ya kipande cha kimara mwisho mbezi.... unafuu ni mdogo kwa tusiopenda kero bora upambane na mbezi muhimbili ukikaa umekaa unless kungekua na udart roads mpaka mbezi
Otherwise ubongo wao hauna rutuba ya kutosha kufanya mawazo yanayosanifu win win situation
Akili za kimaskini zimewajaa hawa viongozi this happens only in TZ
 
Ni siku ya tatu hii Sumatra wameondoa root ya Daladala za Mbezi-Muhimbili je wanamsaidia mwananchi wa kipato cha chini kwa hali hii??
6e1bc4ec1b2f56f47c65046e0f39155a.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
POLE SANA NDUGU YANGU, YAELEKEA ULIKUWA HUJUI MAANA YA ULE WIMBO WA WATAISOMA NAMBA!
 
Ila huu ni upumbavu jamani,ivi hawa Sumatra akili zao wamezielekeza wapi,chini ama juu,Wakumbuke tupo kwenye soko huria hayo mabasi yao ya Mwendokasi hayana faida yoyote ile zaidi ya uzembe,Au kwa vile wao wanamishahara mikubwa na Allah amewajaalia magari,Sasaivi itakuwa kama mtu unamgonjwa pale Muhimbili itakubidi umtembelee mara moja tu tena ni jioni,Viongozi wetu wa kitaifa na hao wenye mamlaka walitizame swala hili kiumakini kabisa
Tuna shida sana wananchi, tatizo mwendo kasi hawaeleweki magari machache vituoni watu wanakaa mda mrefu, kadi hawana. Sijui haraka yao nn kuondoa hizi gari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siwezi kupongeza kuzuia route ya mbezi muhimbili sababu bado hawajaboresha kiasi cha kutosha foleni ya kuingia mwendokasi muhimbili foleni ya mwemdokasi mbezi bado hujapambana kupata gari ya kimara fire watu ni wengi bado foleni ya kipande cha kimara mwisho mbezi.... unafuu ni mdogo kwa tusiopenda kero bora upambane na mbezi muhimbili ukikaa umekaa unless kungekua na udart roads mpaka mbezi
Otherwise ubongo wao hauna rutuba ya kutosha kufanya mawazo yanayosanifu win win situation
Akili za kimaskini zimewajaa hawa viongozi this happens only in TZ
Lengo ni kujenga barabara maalum kufika maeneo yote ya jiji na kuondosha utitiri wa magari,mimi nichoona,folen imepungua sana na mwendokas inaokoa muda sana.Changamoto ndo kama zilivyotajwa hapa lkn hazitoshi kuwakatisha tamaa.Wakifanikiwa kuweka magari kuanzia mbez bila usumbufu wa kimara itakuwa safi sana.fire muhimbili naona haina shida maana gari zipo za kutosha na hulipi tena nauli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Route ambayo UDART wanahudumia daladala zinatolewa. Huu ni mwanzo, mwisho wake daladala zote zitatolewa. Vinginevyo hakukuwa na sababu ya huu mradi.
Hivi tu kukiwa na daladala hali ni mbaya, wakiziondoa kabisa si itakuwa balaa. Hicho kimradi hakikidhi haja. Watu wanataabika sana. Na pia gharama zimekuwa kubwa.
 
Kwa pesa gani ndugu,Mikopo c mmesitisha kutoa
Hata hivyo kung'ang'ana na kagari kabinafsi ili hali kuna mwendokasi ni ulimbukeni.Magari siku hizi unaacha kimara kuna paking kabisa unapanda mwendokas faster.Yanini nihangaike na paking mjini,barabara zinazotoka na zisizotoka ,mizunguko isiyo na lazima na usumbufu wa matrafik polisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Route ambayo UDART wanahudumia daladala zinatolewa. Huu ni mwanzo, mwisho wake daladala zote zitatolewa. Vinginevyo hakukuwa na sababu ya huu mradi.

Hilo ni kosa la kiufundi.
Dala dala na UDART zinge-operate kwa pamoja routes zote. Huduma mbovu zaidi kati ya hizo ingejifia yenyewe.
 
Kwahiyo kuna gari ya mwendokasi Kimara-Muhimbili bila ya kuunganisha?
Wa Mbezi unamwachia nani?
Kama mtu akitakiwa apande ya Kimara ina maana lazima atumie 1050/- badala ya 600/-

May Allah bless Me and You
 
Back
Top Bottom