Kampuni ya mabasi ya Shabiby ni wahuni

Kampuni ya mabasi ya Shabiby ni wahuni

Hii kampuni nilikua naamini ni kampuni inayojiheshimu ila leo ndio nimewadharau na sitokaa nipande tena mabasi yao. Leo nimesafiri na basi lao namba T 132 DLC toka Dar kwenda Arusha cha ajabu tumefika moshi wakatuweka kama nusu saa kisha wakatuambia wameahirisha hawafiki Arusha wanaishia Moshi. Wakatufaulisha kwenye libasi libovu limetoka vijijini na bahati mbaya basi lilikua limejaa tukabishana nao sana wakadai tusimame asietaka ashuke. Kuna wamama walikua na watoto wamelalamika mno na wengine wakaamua kutafuta usafiri mwingine. Binafsi pia niligoma kusimama basi limejaa mno.
Kudhihirisha sio bahati mbaya ni uhuni kwanza walituchelewesha sana pale Same baada ya abiria kwenda kulalamika kwa polisi wamelipa nauli mara mbili na wqmegoma kurudishiwa. Hao abiria walikua wanne mmoja aliwalipia wenzake watatu na wao bila kujua wqmelipiwa wakalipa tena baadae walipogundua wakadai refund Shabiby wakagoma ndio kisa cha kutuchelewesha tena lisaa lizima pale Same. Hawa jamaa ni wahuni kupitiliza tofauti na wanavyoonekana na basi zao kuvutia.
Shabiby kaanza lin hio ruti ya Dar~Arusha
 
mbona kuna kampuni nyingi zinazofanya kazi hiyo ruti arifu, kama vipi ungepanda ngorika basi
 
Toka lini Shabiby wameanza kuwa na route za Dar kwenda Arusha?
 
Hii kampuni nilikua naamini ni kampuni inayojiheshimu ila leo ndio nimewadharau na sitokaa nipande tena mabasi yao. Leo nimesafiri na basi lao namba T 132 DLC toka Dar kwenda Arusha cha ajabu tumefika moshi wakatuweka kama nusu saa kisha wakatuambia wameahirisha hawafiki Arusha wanaishia Moshi. Wakatufaulisha kwenye libasi libovu limetoka vijijini na bahati mbaya basi lilikua limejaa tukabishana nao sana wakadai tusimame asietaka ashuke. Kuna wamama walikua na watoto wamelalamika mno na wengine wakaamua kutafuta usafiri mwingine. Binafsi pia niligoma kusimama basi limejaa mno.
Kudhihirisha sio bahati mbaya ni uhuni kwanza walituchelewesha sana pale Same baada ya abiria kwenda kulalamika kwa polisi wamelipa nauli mara mbili na wqmegoma kurudishiwa. Hao abiria walikua wanne mmoja aliwalipia wenzake watatu na wao bila kujua wqmelipiwa wakalipa tena baadae walipogundua wakadai refund Shabiby wakagoma ndio kisa cha kutuchelewesha tena lisaa lizima pale Same. Hawa jamaa ni wahuni kupitiliza tofauti na wanavyoonekana na basi zao kuvutia.
Hapo inaonesha ni jinsi gan ulivyo na chuki na kampuni ya Shabiby kwa sababu Shabiby hana route ya Dar~Arusha asa ww umepanda lin iyo Shabiby ya Dar~Arusha
 
Yaani mkuu waneniharibia safari yangu kabisa,afu nilikua sijawahi panda kwa hii route ya Dar - Arusha leo nilipoona basi lao nikapanda sababu ya heshima yao...nilikuaga napanda Dom - Arusha tu na ndio hawanipati tena
Kaanza lini ruti ya dar arusha mkuu
 
Wahuni siyo watu pow shabiby nae kawa muhuni

Jamaa kaja chafua kampuni ..ila amekubali kuwa amekosea ile haikuwa shabiby ,maana hawa route ya kutokea dar kwenda mkoa mwingine tofauti na dodoma
 
Hao abood wenyewe route ya Dar - Mwanza ni wahuni vibaya, kipindi flani nilisafiri nao tulipofika Moro wakaingia gereji kwao, wakatusubirisha zaidi ya 1h , baada ya kuwalalamikia sana ndo tukaendelea na safari. But Abood Dar to Moro ni confortable sana
Hata Aboud ya Dar-Moro wamekua wahuni, wanasimamisha watu Kama kwenye daladala vile. Umepumzika kwenye siti yako Mara unaanza kusikia harufu za ajabu kumbe mtu keshakupanulia kwapa lake
 
Pole Sana Ila napenda kukufahamisha kwamba hakuna Basi la Shabiby la kutoka Dar kwenda Moshi au Arusha. Hilo basi kuna kampuni moja ya Mvungi ndio wametoka kununua hilo basi la kampuni ya Shabiby T132 DLC.Ili kudhihirisha hilo naamini hata tiketi uliyopewa sio ya Shabiby. Ila Pole Sana kwa Usumbufu
Sasa nyie Shabiby mjitahidi mnapoyauza wa badili Jina kabla ya kuchafua brand yenu
 
Shabiby kaanza lin hio ruti ya Dar~Arusha
Hata mm nmejiuliza Dar- Arusha sijui aisee nijuavyo mm Dodoma Arusha, Nairobi-Dodoma may be kaanza hyo juzi lkn pia kiukweli customer care ya Shabiby sio nzuri kabisaa mm nlikuwa mteja wao mzur sana wa Dom Arusha, lkn kuna siku nmefanya booking asubuhi nafika wamenibadilishia siti,halafu badala ya kuondoka saa kum na mbili wakanipandisha basi la saa moja,wana mambo fulani ya kijinga jinga sana, nkaona isiwe taabu nikahamia zangu Machame,wastaarabu sana wale
 
Msingeshuka mkuu. Sema abiria wa kibongo asilimia kubwa hatunaga ushirikiano.


Mimi huwa siangalii abiria wengine wana mtazamo gani?. Nasimama jeshi la mtu mmoja mpaka kinaeleweka.
Siku zote Mimi huwaza kitu kimoja- hivi nilivyo kama nashindwa kujisimamia/ kujitetea je mwanangu au wenzangu walio wanyonge/ wapole wa moyo watatetewa na nani?. Popote pale nikiona mambo hayako sawa Nawasha moto mpaka kinaeleweka.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Hii kampuni nilikua naamini ni kampuni inayojiheshimu ila leo ndio nimewadharau na sitokaa nipande tena mabasi yao. Leo nimesafiri na basi lao namba T 132 DLC toka Dar kwenda Arusha cha ajabu tumefika moshi wakatuweka kama nusu saa kisha wakatuambia wameahirisha hawafiki Arusha wanaishia Moshi. Wakatufaulisha kwenye libasi libovu limetoka vijijini na bahati mbaya basi lilikua limejaa tukabishana nao sana wakadai tusimame asietaka ashuke. Kuna wamama walikua na watoto wamelalamika mno na wengine wakaamua kutafuta usafiri mwingine. Binafsi pia niligoma kusimama basi limejaa mno.
Kudhihirisha sio bahati mbaya ni uhuni kwanza walituchelewesha sana pale Same baada ya abiria kwenda kulalamika kwa polisi wamelipa nauli mara mbili na wqmegoma kurudishiwa. Hao abiria walikua wanne mmoja aliwalipia wenzake watatu na wao bila kujua wqmelipiwa wakalipa tena baadae walipogundua wakadai refund Shabiby wakagoma ndio kisa cha kutuchelewesha tena lisaa lizima pale Same. Hawa jamaa ni wahuni kupitiliza tofauti na wanavyoonekana na basi zao kuvutia.
Poleni labda za huko Ila huku kwetu DAR TO DOM hakunaga shida kabisaaaa!! Sema inawezekana gari lilipata shida so walikuwa wanaogopa kuwaweka wazi
 
Write your reply...alafu wakakuumiza moyo zaidi kukupandisha kwenye gari yenye tv ya chogo pole sana mkuu chogo linaumiza sana
 
Huvi nyie kutwaaa kulalamika hamzioni dreemline zetu??
 
Kwwli mkuu hiyo ni changamoto, kuna siku natoka Kigoma kuna mama mmoja wa kikongo akawa anawapigia makelele dereva ashuke akachimbe dawa ilipita like 1h ndio driver akasimama basi gari kusimama vidume karibu vyote navyo vikashuka kuchimba dawa, maza aliwamind sana akawaambia kwa kuwa mabubu
Hahaha aibu sana aisee! Hatuna misimamo kwenye haki zetu ndio maana tunaburuzwa tu hata na konda!
 
Kuna siku niko dom nmekata lile bas la saa tano inafika muda et gar haiwez kuondoka za hv subrn mtaondoka saa nane na gar inayokuja kutoka Dar... Nkawaambia msinletee Mapicha picha nkawasha moto nkapewa Naul yangu nkavuka road nkaenda Kimbinyiko nkakata ticket ya next Day saafi.
 
Back
Top Bottom