Recent content by kadyuwegeyeson

  1. kadyuwegeyeson

    Je, hii simu niliyoinunua Amazon inaweza kusoma line za huku?

    Jamani habari ndugu? Nimenunua simu Amazon nikakimbilia bei nimekuja kungudua shinda wakati ikiwa imekwisha tumwa kuwa hii simu niyakampuni ya total wireless je, kwa hapa bongo inaweza kusoma laini za huku?
  2. kadyuwegeyeson

    Naomba muongozo kufungua madai yangu NSSF

    Habari wadau Ninataka kwenda kufungua madai NSSF ya kuachishwa kazi. Je, inatakiwa nienda na nini ambayo vinaambatanishwa na fmu yangu ya madai maana ninafunga safari kwenda Ofisi za NSSF.
  3. kadyuwegeyeson

    Ushauri kitaalamu

    Ninataka kupanda mahindi ya pannar pamoja na mbolea ya dAp ila mvua inasumbua Sana kunyesha je nikipanda na mvua ikakataa kwa muda je mahindi niliyopanda na mbolea yanaweza kuota Kweli??
  4. kadyuwegeyeson

    GE2020 Mbowe adhalilisha vyama vyote vya upinzani nchini, adai havistahili kupewa haki ya kunadi wagombea wao

    Jamani Mbona nimesikilizia mwanzo mwisho ila Hayo maneno sijayasiki jamani
  5. kadyuwegeyeson

    GE2020 Lissu anazidi kuumbuka, kila hoja anayoanzisha inaonekana haina mashiko kwa Watanzania

    Tundu lissu anasema rafiki Pekee wa magufuli ni mrithi wa nguruzinza inamaana hujaelewa wapi sasa?
Back
Top Bottom