johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,867
- 141,804
Mchungaji Anthony Lusekelo amewataka Watanzania kutoiga iga mambo kwani demokrasia ina maana pana.
Mzee wa Upako amesema hata Marekani demokrasia wanayoihubiri hawaiishi kwa mfano Hilarry Clinton ndiye aliyeshinda kwa wingi wa kura lakini aliyeteuliwa kuwa Rais ni Donald Trump.
Kadhalika Uingereza Waziri Mkuu anapigiwa kura lakini mfalme ndiye anayempitisha.
Lusekelo amewataka Watanzania wajifunze Libya na Iraq waliotupa " mbachao" kwa msala upitao na sasa wanajuta.
Chanzo: Channel ten.
Maendeleo hayana vyama!
Mzee wa Upako amesema hata Marekani demokrasia wanayoihubiri hawaiishi kwa mfano Hilarry Clinton ndiye aliyeshinda kwa wingi wa kura lakini aliyeteuliwa kuwa Rais ni Donald Trump.
Kadhalika Uingereza Waziri Mkuu anapigiwa kura lakini mfalme ndiye anayempitisha.
Lusekelo amewataka Watanzania wajifunze Libya na Iraq waliotupa " mbachao" kwa msala upitao na sasa wanajuta.
Chanzo: Channel ten.
Maendeleo hayana vyama!