Recent content by kadodoo

  1. K

    Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

    iko km hyo jaman hyo acness
  2. K

    Chama cha Walimu (CWT) ni jipu

    hiki chama hatari sana ujue walimu wakuu wanadanganywa pesa za madaraka tena kuna baadhi ya sehemu zimeingizwa kwenye akaunti za shule eti toka mwezi wa saba ila mpaka leo hawajaruhusiwa kuzitoa kisa eti hawajapata maelekezo toka juu na inakuwaje hela ya madaraka ya mwalimu mkuu iingizwa kwenye...
  3. K

    Lake Ngozi (Ziwa Ngozi) na simulizi za ajabu

    tulienda kinguvu tukiwa shule bila mwalimu wala muongozaji mh kwa stori hizi sijui tungekutwa na maafa nini kingefuata ilikuwa form two tuliporudi tulipewa adhabu na kurudishwa nyumbani sina hamu ila ni kuzuri watu walitelemka mpaka chini ila wengine tuliogopa kukaliangalia kwa juu tuu ni kuzuri...
  4. K

    Naanza kuondoa iman na Tume ya Utumishi wa Umma

    ila nkiangalia nafasi za maendeleo ya jamii za mwezi octoba sidhani kama utumishi wana hizo mambo japo kukosekana ni nadra ila ukweli wengi tuliopata zile kazi na kwenda kuripoti ni watotto wa walalahoi na tukiangaliana unajua tu huyu kapuku kama mie.kikubwa kusali sana nina ndugu zangu na...
  5. K

    Harufu ya kiume inanitia hamu

    huyu Nyani Ngabu huwa ananipa raha hatari
  6. K

    Kaka afumaniwa na dada ake

    Jibu swali jaman unaijua dini yao?
  7. K

    My girlfriend want to share with her friend.

    mh hivi yanatokeaga kweli?
  8. K

    Natafuta mke serious for marriage

    Kweli eeeh?
  9. K

    Bajeti ya kuandaa sherehe za Muungano

    Hahahahahaaa Bambo boleee
  10. K

    Matapeli wakubwa 5 kuwahi kutokea Tanzania

    Hahahahahahaaha mbavu zangu mie nimecheka haswaaaa
Back
Top Bottom