hiki chama hatari sana ujue walimu wakuu wanadanganywa pesa za madaraka tena kuna baadhi ya sehemu zimeingizwa kwenye akaunti za shule eti toka mwezi wa saba ila mpaka leo hawajaruhusiwa kuzitoa kisa eti hawajapata maelekezo toka juu na inakuwaje hela ya madaraka ya mwalimu mkuu iingizwa kwenye...
tulienda kinguvu tukiwa shule bila mwalimu wala muongozaji mh kwa stori hizi sijui tungekutwa na maafa nini kingefuata ilikuwa form two tuliporudi tulipewa adhabu na kurudishwa nyumbani sina hamu ila ni kuzuri watu walitelemka mpaka chini ila wengine tuliogopa kukaliangalia kwa juu tuu ni kuzuri...
ila nkiangalia nafasi za maendeleo ya jamii za mwezi octoba sidhani kama utumishi wana hizo mambo japo kukosekana ni nadra ila ukweli wengi tuliopata zile kazi na kwenda kuripoti ni watotto wa walalahoi na tukiangaliana unajua tu huyu kapuku kama mie.kikubwa kusali sana nina ndugu zangu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.