Halafu hili neno beberu/ mabeberu lilivuma zaidi awamu hii ya tano hasa baada ya kabudi kupewa uwaziri, yeye ndio bingwa wa kuwaita mataifa yaliyoendelea mabeberu, sijui akiendaga ulaya na marekani bado anawaita hukohuko au anakausha, akirudi tz anawachana mbele ya bosi, kabudi bwana,
Huenda alishawahi kuwa mtumishi wa benki, maana kwa akili hiyo na umri wake kama Hakuna watu wanaomtumia basi ana akili sana, yaani kawaza sana, hiyo sio akili ya kawaida kwa wasichana wa kitanzania wa umri huo
Ni on line pekee, ofjsi yao ipo shoppers plaza ila hawauzi kitu chochote pale, mimi binafsi nimefika wakaniambia bidhaa zao wanauza online tu, ukinunua bidhaa zao unasubiri ndani ya Siku 15
Sijakupata vizuri mkuu, kwa mfano nina flash ya GB 8 nimeweka movie kama sita yaani hizi tunazoita season, sasa kila nikiplay yakwanza inaplay mpaka katikati halafu inagoma, zingine ndio hazi chezi kabisa na na dukani muuzaji kanihakikishia kama ni OG na feki yake kanionyesha, sasa hapo ndio sielewi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.