Maafisa wa Jeshi la Polisi wamefika mapema hii leo katika msiba wa kijana Sefu Mussa, mkazi wa Matejoo jijini Arusha, ambaye alifariki dunia baada ya kudaiwa kupewa adhabu na askari watatu wa Hifadhi ya Ngorongoro.
Sefu anadaiwa kufariki baada ya yeye na wenzake kupotea njia tarehe 12 Aprili...
Zambia imesitisha zoezi la kuhesabu kura kote nchini leo Ijumaa kufuatia ripoti za vurugu katika baadhi ya maeneo. Afisa mkuu wa uchaguzi Brown Kasaro amesema "Ghasia hizo zinawalenga wafanyakazi wa uchaguzi, na katika baadhi ya matukio zimesababisha wizi wa karatasi za kura kwenye masanduku ya...
Tanzania inabadilisha sheria ili kuvutia teknolojia na uwekezaji, lakini je, mabadiliko hayo yatamnufaisha Mtanzania wa kawaida?
Serikali inapanga kupitia upya zaidi ya sheria 1,000 ili kuunda mfumo wa kisheria unaoweza kusaidia matumizi ya akili bandia (AI), biashara za kidijitali na...
Utawala wa Rais wa Marekani, Donald Trump, umekamilisha kanuni mpya zitakazozuia fedha za serikali kupitia Medicaid na mpango wa bima ya afya kwa watoto wa CHIP kutumika kugharamia baadhi ya matibabu yanayohusiana na mabadiliko ya kijinsia kwa watoto na vijana. Hatua hiyo inahusu upasuaji, dawa...
Shirika la habari la The Intercept na taasisi ya Freedom of the Press Foundation wamemshitaki Rais wa Marekani Donald Trump katika Mahakama ya Shirikisho jijini New York, wakimtumu kwa jaribio la kujitajirisha kupitia taarifa za umma.
Kesi hiyo inapinga mfumo mpya wa Truth API unaoendeshwa na...
Mamilioni ya watu kote barani Ulaya walishuhudia tukio la ajabu la kimaumbile siku ya Jumatano 12 August 2026, baada ya mwezi kupita katikati ya dunia na jua na kutumbukiza maeneo kadhaa ya bara hilo kwenye giza nene la mchana.
Tukio hilo la nadra la kupatwa kamilifu kwa jua lilivuta hisia za...
Mbunge Ado Shaibu wa jimbo la Tunduru Chama cha ACT-Wazalendo amewasilisha hoja nzito akibainisha kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan hazina madhumuni ya dhati ya kuwapatia Watanzania Katiba Mpya.
Akizungumza katika Kongamano la Vijana...
Wakili Peter Madeleka, amesisitiza kuwa udhibiti wa haki za kimsingi nchini haupaswi kuangaziwa kwa jicho la kisiasa au vyama, bali kama suala la kitaifa linalogusa kila mwananchi na Katiba ya nchi.
Akizungumza katika mahojiano maalum na kituo cha Mwananchi Digital, 8August 2026, Wakili...
Baada ya kukutana na taarifa kuwa majeshi ya majini ya Iran yameshambuliwa nimeenda dip ili kujua chanzo cha sababu hiyo ila chaajabu ni kwamba nimekutana na taarifa tofauti je nikweli ilikuwa mashambulizi au taarifa zimechanaganyika?
Wakuu hivi kweli ni haki?
Katika kila taarifa ninayo kutana nayo au kuisikia kuhusu mapacha walio ungana kutenganishwa ni kweli madaktari huwa wanafanikiwa katika jukumu hilo la kuwatenganisha ila huwa haichukui muda mmoja kati ya mapacha hao hufariki au wote kwa pamoja na ni wachache...
Wakili Peter Madeleka ametoa wito wa kufutwa kwa kesi za ugaidi zinazoendelea katika mahakama mbalimbali nchini, akieleza kuwa hazina msingi wa kisheria iwapo hakuna vitendo halisi vya ugaidi vilivyotendeka
Akihojiwa katika mahojiano maalum na Mwananchi Digital mnamo Agosti 8, 2026, Wakili...
Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeendelea kuwahamasisha wawekezaji katika sekta ya uvuvi kuzingatia matumizi sahihi ya Sayansi na Tafiti za uvuvi katika kusimamia ubora na uzalishaji wa vifaranga vya samaki ili kuwa na tija katika ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba..
Kauli ya...
Teknolojia ya akili unde (AI) imeendelea kutumika katika maeneo mbalimbali kama elimu, uandishi wa habari, biashara, ubunifu na huduma kwa wateja.
wapo wanaoona akili unde inarahisisha kazi na kuongeza ufanisi, huku wengine wakihofia kwamba matumizi yake yanaweza kupunguza baadhi ya nafasi za...
Mastaa wengi wanapokuwa kwenye mahusiano,wanapotengana,au wanapofanya jambo linalozua mjadala,taarifa hizo huvutia attention kubwa kutoka kwa mashabiki.
Soma zaidi:Inawezekana kubalance kazi na maisha binafsi kwenye dunia ya sasa?
Wakati mwingine habari kuhusu maisha yao binafsi hushika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.