Ushawahi kukimbiza daladala kisa chenji?

Ushawahi kukimbiza daladala kisa chenji?

Kadhakan

Senior Member
Joined
Jul 20, 2026
Posts
113
Reaction score
163
Habari wanaJF

leo nikiwa katika daladala za Buza-Kawe kunatukio limetokea nimeona sio sawa ,

kuna dada alikuwa anataka kushuka kwenye kituo anachotaka kushuka sasa alikuwa bado anadai chenji kwa konda ameanza kumdai kabla ya kufika katika kituo anachotaka kushuka yule konda akawa anamjibu kwani si usuburi nitakupa mpaka anafika kwenye hicho kituo anamwambia shuka nitakupa chini yule dada akawa anagoma baadae akakubali baada ya kushuka yule konda sasa anamwambia mi sina chenji bhana alafu anamwambia dereva tuondoke ikabidi yule dada aanze kukimbiza gari lakini hakufanikiwa kurudishiwa chenji yake.

Sasa kwanini amwambie atampa alafu baadae anamwambia sina chenji kwani alishindwa kuomba chenji kwa abiria wengine?

Au nyinyi mnaonaje kwenye hili?
 
Habari wanaJF

leo nikiwa katika daladala za Buza-Kawe kunatukio limetokea nimeona sio sawa ,

kuna dada alikuwa anataka kushuka kwenye kituo anachotaka kushuka sasa alikuwa bado anadai chenji kwa konda ameanza kumdai kabla ya kufika katika kituo anachotaka kushuka yule konda akawa anamjibu kwani si usuburi nitakupa mpaka anafika kwenye hicho kituo anamwambia shuka nitakupa chini yule dada akawa anagoma baadae akakubali baada ya kushuka yule konda sasa anamwambia mi sina chenji bhana alafu anamwambia dereva tuondoke ikabidi yule dada aanze kukimbiza gari lakini hakufanikiwa kurudishiwa chenji yake.

Sasa kwanini amwambie atampa alafu baadae anamwambia sina chenji kwani alishindwa kuomba chenji kwa abiria wengine?

Au nyinyi mnaonaje kwenye hili?
UMASKINI 😁 😂 haujawai kumuacha mtu salama
 
Habari wanaJF

leo nikiwa katika daladala za Buza-Kawe kunatukio limetokea nimeona sio sawa ,

kuna dada alikuwa anataka kushuka kwenye kituo anachotaka kushuka sasa alikuwa bado anadai chenji kwa konda ameanza kumdai kabla ya kufika katika kituo anachotaka kushuka yule konda akawa anamjibu kwani si usuburi nitakupa mpaka anafika kwenye hicho kituo anamwambia shuka nitakupa chini yule dada akawa anagoma baadae akakubali baada ya kushuka yule konda sasa anamwambia mi sina chenji bhana alafu anamwambia dereva tuondoke ikabidi yule dada aanze kukimbiza gari lakini hakufanikiwa kurudishiwa chenji yake.

Sasa kwanini amwambie atampa alafu baadae anamwambia sina chenji kwani alishindwa kuomba chenji kwa abiria wengine?

Au nyinyi mnaonaje kwenye hili?
Sasa kwa nini nyie abiria msimsaidie huyo dada kupata haki yake? Mnaruhusije Dereva kuondoa gari bila mdada wa watu kupewa chenji yake? Wewe ni boya tu. Umenitia hasira sana. Mnakuwa mazombie hadi kwenye issue ambayo imo ndani ya uwezo wenu. Yaani konda na dereva tu anawatisha abiria gari zima. CCM itawaburuza sana kwa uoga huu
 
Kwahiyo huo umaskini una-justify kwamba alichofanyiwa ni sawa?
Hata nikijibu haito saidia kitu.

Kikubwa Kila mtu ashinde MECHI ZAKE.

Mbona hao raia/ abiria walishindwa kumsaidia huyo mwanamke kupata haki yake kwa kupaza sautiii zao ili dada apewe chenchi yake?

N.B UJINGA, UMASKINI NA MARADHI Hawa maadui wa TAIFA tulio aminishwa toka uhuru..
 
  • Thanks
Reactions: ---

Similar Discussions

Back
Top Bottom