JamiiForums Tanzania
Ccm oyee
Mh, jamaa hata macho yanaonekana kama ya jambazi vile, ila poa Wameru wameambiwa eti wakimchagua mkazamwana wa Lowassa ndio watapewa arthi na kupatiwa maji katika jimbo lao, ila wakikataa basi, na wabongo tunavyoogopa mtu mwenye kitambi kama mkapa ni full kushangilia, ila watu wangu wanaangamia...