ni kweli mkuu. sioni athari yoyote kwa CUF kumpoteza Hamad Rashid,watadanganyika watu wasiozifahamu siasa za Unguja na Pemba. Sitashangaa kama HR uchaguzi ujao kuogopa aibu ya kushindwa Wawi atagombea ubunge jimbo la bara...hakuna athari zozote zile.
..ukifanyika uchaguzi leo hii CUF itashinda Pemba, na CCM itashinda Unguja.
..huku Tanganyika, CUF wako kwa ajili ya kutimiza masharti ya kisheria.