Ccm oyee

Ccm oyee

Hakuna ubishi kwa kuchakachua kwa sababu mna dola eeeeeenh?

Ona sera za CCM!!!!!!!!!
Nipigeeeeeeee Nisipigeeeeeeee??????????????? ?????
Pigaaaaaaaaaaaa
Bendera ya CCM ina rangi ganiiiiiiiiiiiiii????????????? ??
Kijaniiiiiiiiiiiiii.
Ukipanda mahindi yanaota rangi ganiiiiiiiiiiiii???????????
Kijaniiiiiiiiiiiiii.
Ukipanda mpunga unaota rangi ganiiiiiiiiiiiiii???????????
Kijaniiiiiiiiiiiiiiii
Migomba yote ina rangi ganiiiiiiiiiii?????????????
Kijaniiiiiiiii.
Piga makofi na vigelegele kwa Chama cha Mapinduzi.
CCM Oyeeeeeeeee.
Oyeeeeeeeeee.
 
wakati mwingine watu hataka kuchokoza wengine kwa maneno yasiyo na maana kama haya, kama itashinda so what?
 
mkuu kukaa kimya napo ni busara
 
Hakuna ubishi kwa kuchakachua kwa sababu mna dola eeeeeenh?

Ona sera za CCM!!!!!!!!!
Nipigeeeeeeee Nisipigeeeeeeee??????????????? ?????
Pigaaaaaaaaaaaa
Bendera ya CCM ina rangi ganiiiiiiiiiiiiii????????????? ??
Kijaniiiiiiiiiiiiii.
Ukipanda mahindi yanaota rangi ganiiiiiiiiiiiii???????????
Kijaniiiiiiiiiiiiii.
Ukipanda mpunga unaota rangi ganiiiiiiiiiiiiii???????????
Kijaniiiiiiiiiiiiiiii
Migomba yote ina rangi ganiiiiiiiiiii?????????????
Kijaniiiiiiiii.
Piga makofi na vigelegele kwa Chama cha Mapinduzi.
CCM Oyeeeeeeeee.
Oyeeeeeeeeee.

wazazi wa lusinde walileta chizi duniani
 
Samahani basi wazazi wa lusinde walimleta chizi duniani

Mh, jamaa hata macho yanaonekana kama ya jambazi vile, ila poa Wameru wameambiwa eti wakimchagua mkazamwana wa Lowassa ndio watapewa arthi na kupatiwa maji katika jimbo lao, ila wakikataa basi, na wabongo tunavyoogopa mtu mwenye kitambi kama mkapa ni full kushangilia, ila watu wangu wanaangamia kwakukosa maarifa
 
jamani ccm arumeru inashinda kwa kishindo
Mwenzio ni mkazamwana wa Lowassa na wewe unamkaza mwana wa nani?, maana siku hizi mpaka uwe na nafasi ya kuwa mkazamwana wa kigogo na hapo ndipo upewe nafasi, mimi bado najiuliza hivi huyu jamaa ambae hata kura alikuwa anapigia Kawe amekuwa na uchungu wa watu wa Meru tangu lini?, ila kwavile watanzania bado tunafuata baba na mkwe wake basi, hata hivo Nassari atashinda
 
CCM ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!
Ziiiiiiii...........Ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!
Ziiiiiiikwaaaaaaaaaaaaaaa!!!!
R.I.P CCM.
 
***** mwingine hata hauna maan. Sasa kama ccm inashinda arumeru sisi tunafaidika nini? Ujinga mtupu....!!!
 
Thread Kama hizi naziogopa kwasababu huwa napata ban kwa Matusi nayoporomosha Ngoja nipite tuu
 
jamani ccm arumeru inashinda kwa kishindo
watu wengine bana kama huna cha kuweka hapa jamvini ni bora ukazoe mbolea ya kuku uweke kwenye mdomo wako itakusaidia kurutubisha u tz wako ili ujue kufikiri.eti kwa kishindo!!!!!!!!!!!!!!!!?????????????? Huna hata aibu.mmezoea kishindo kishindo hivi nawaukiza magamba wote mnafahamu maana ya neno kishindoooooooooo???? Au unajiropokea tu?jamani acheni kuropoka.
 
Back
Top Bottom