Edward Lowassa: Usahaulifu na hadithi za kusadikika

Edward Lowassa: Usahaulifu na hadithi za kusadikika

bakuza

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2010
Posts
492
Reaction score
104

Aliyekuwa Waziri Mkuu Bw. Edward Lowassa wakati akimnadi mgombea wa CCM Sioi Sumari hapo jana eneo la Patandi alijinadi kuwa mjadala wa matizo ya ardhi,maji na umeme huko Arumeru umefungwa kwa sababu CCM imetabua na kusikia matatizo yao ktk uchaguzi huu mdogo wa ubunge wa Arumeru Mashariki.Ninachojiuliza hapo ni hiki:



  1. Tatizo la aridhi,maji na umeme Arumeru lilidumu kabla ya uhuru na baada ya uhuru mwaka 1961 hadi leo na CCM ndiyo ipo madarakani kwa kipindi hicho chote.Je hawakuwahi kuliona tatizo mpaka ktk uchaguzi mdogo.
  2. Lowassa aliwahi kuwa Waziri wa Ardhi, na Maendeleo ya Makazi. katika serikali ya Rais Ally Hassan Mwinyi kati ya mwaka 1993 hadi 1995.je tatizo la ardhi hakuliona?
  3. Lowasa amekuwa Waziri wa Maji kwa miaka mitano chini ya serikali ya Rais Mkapa kati ya 2000 na 2005,lakini hakujishugulisha na hilo tatizo hata kidogo au anataka tuamini hakuliona kipindi hicho au harikumhusu?
  4. Pia huyu huyu Lowassa amekuwa Waziri Mkuu kipindi cha Jakaya Kikwete kabla ya kutimka sababu ya kukosa uadilifu kwa kufisadi mali ya Umma.
  5. Zimefanyika jumla chaguzi kumi za ubunge huko Arumeru kabla na baada ya mfumo wa vyama vingi kuingia je ktk chaguzi hizo walikuwa wanahaidi na wanatatua kero zipi wakati hata barabara hakuna?
Wananchi wa Arumeru hivi hili limekaaje? kama mtu aliyewahi kuwa Waziri wa sekta hizo zote tena na baadaye waziri mkuu hakufanya lolote iweje leo awape tumaini lenu kwa kijana Siyoi Sumari wakati yeye Lowassa alishindwa kwa kipindi chote cha uongozi wake uliokuwa na maamuzi ya mwisho.:scared:
 
Aliyekuwa Waziri Mkuu Bw. Edward Lowassa wakati akimnadi mgombea wa CCM Sioi Sumari hapo jana eneo la Patandi alijinadi kuwa mjadala wa matizo ya ardhi,maji na umeme huko Arumeru umefungwa kwa sababu CCM imetabua na kusikia matatizo yao ktk uchaguzi huu mdogo wa ubunge wa Arumeru Mashariki.Ninachojiuliza hapo ni hiki:



  1. Tatizo la aridhi,maji na umeme Arumeru lilidumu kabla ya uhuru na baada ya uhuru mwaka 1961 hadi leo na CCM ndiyo ipo madarakani kwa kipindi hicho chote.Je hawakuwahi kuliona tatizo mpaka ktk uchaguzi mdogo.
  2. Lowassa aliwahi kuwa Waziri wa Ardhi, na Maendeleo ya Makazi. katika serikali ya Rais Ally Hassan Mwinyi kati ya mwaka 1993 hadi 1995.je tatizo la ardhi hakuliona?
  3. Lowasa amekuwa Waziri wa Maji kwa miaka mitano chini ya serikali ya Rais Mkapa kati ya 2000 na 2005,lakini hakujishugulisha na hilo tatizo hata kidogo au anataka tuamini hakuliona kipindi hicho au harikumhusu?
  4. Pia huyu huyu Lowassa amekuwa Waziri Mkuu kipindi cha Jakaya Kikwete kabla ya kutimka sababu ya kukosa uadilifu kwa kufisadi mali ya Umma.
  5. Zimefanyika jumla chaguzi kumi za ubunge huko Arumeru kabla na baada ya mfumo wa vyama vingi kuingia je ktk chaguzi hizo walikuwa wanahaidi na wanatatua kero zipi wakati hata barabara hakuna?
Wananchi wa Arumeru hivi hili limekaaje? kama mtu aliyewahi kuwa Waziri wa sekta hizo zote tena na baadaye waziri mkuu hakufanya lolote iweje leo awape tumaini lenu kwa kijana Siyoi Sumari wakati yeye Lowassa alishindwa kwa kipindi chote cha uongozi wake uliokuwa na maamuzi ya mwisho.:scared:
Ondoa matapishi yako hapa. Hon. Lowassa ni mchapa kazi asiyechoka. Ni rais wa JMT 2015.
 
Kama EL atakuwa rais, nchi imekwisha! Sisiem haina nidhamu@lusinde
 
Ondoa matapishi yako hapa. Hon. Lowassa ni mchapa kazi asiyechoka. Ni rais wa JMT 2015.

Lowasa ni Honorable??
Mtu anayefanya kazi kwa hisia ni Honorable? Lowasa ndio chanzo cha shule za kata ambazo zimegeuka kuwa kaburi la kitaaluma kwa masikini wote wa tanzania, kama angekuwa honorable, tungeona usahihi wa project ile kwenye muendelezo wake.

Bila madaraka Lowasa si lolote si chochote hawezi kuhamasisha wananchi kuchimba japo choo kimoja cha shimo, Achilia mbali mikono yake ya pweza, hatuko tayari kuongozwa na mtu ambaye busara zake zinaishia siku yake ya mwisho ofisini.
 
Ondoa matapishi yako hapa. Hon. Lowassa ni mchapa kazi asiyechoka. Ni rais wa JMT 2015.

Fanya kazi uliyotumwa we ni mjasiliamali lakini ukweli unaujua.Jipe moyo ndugu
Ila kumbuka vinavyotumiwa vyote huishia pabaya kama kondoo.....muuu ,nk...nk..nk.Epuka kutumika na kuuza utu wako sababu ya vipesa vya mpito.Tafakari kwa kichwa na si vinginevyo.:scared:
 
Fanya kazi uliyotumwa we ni mjasiliamali lakini ukweli unaujua.Jipe moyo ndugu
Ila kumbuka vinavyotumiwa vyote huishia pabaya kama kondoo.....muuu ,nk...nk..nk.Epuka kutumika na kuuza utu wako sababu ya vipesa vya mpito.Tafakari kwa kichwa na si vinginevyo.:scared:
Unatumia makalio kufikiri. Kwani Lowassa si mchapa kazi? .
 
Ondoa matapishi yako hapa. Hon. Lowassa ni mchapa kazi asiyechoka. Ni rais wa JMT 2015.

Na wewe toa upuuzi hapa, unachotakiwa ni kujibu Hoja na kama huyo Lowasa alishakuchapia kazi mgongoni basi msubiri kunakohusika umsifie
 
Unatumia makalio kufikiri. Kwani Lowassa si mchapa kazi? .

Amakweli tumekwisha, yaani mtumzima unaamua kuuza hata akili ya mwisho, Lowassa hatakuwa raisi wa Tanzania na kama unajidaganya subiri 2015,fisadi mkubwa nani ampekura yake?
 
Lusinde and the like watapelekwa kuzimu. EL ni kiongozi anayetufaa sana Watz.

Sioni tofauti ya Lusinde na CCM wenzake kama akina Hasira,BMW,EL na wenzake wote lao ni moja na ni janga la kitaifa.Ila unaonaje ukijibu hoja kwanza hayo mengine baadaye.
 
Amakweli tumekwisha, yaani mtumzima unaamua kuuza hata akili ya mwisho, Lowassa hatakuwa raisi wa Tanzania na kama unajidaganya subiri 2015,fisadi mkubwa nani ampekura yake?
Ukweli daima siku zote ni mchungu ila itabidi uumeze hivyo hivyo. Lowassa ni chaguo la umma 2015. Hatudanganyiki na porojo na chuki zenu.
 
Sioni tofauti ya Lusinde na CCM wenzake kama akina Hasira,BMW,EL na wenzake wote lao ni moja na ni janga la kitaifa.Ila unaonaje ukijibu hoja kwanza hayo mengine baadaye.
Hoja attacked labda kama una lingine.
 
Lowasa ni Honorable??
Mtu anayefanya kazi kwa hisia ni Honorable? Lowasa ndio chanzo cha shule za kata ambazo zimegeuka kuwa kaburi la kitaaluma kwa masikini wote wa tanzania, kama angekuwa honorable, tungeona usahihi wa project ile kwenye muendelezo wake.

Bila madaraka Lowasa si lolote si chochote hawezi kuhamasisha wananchi kuchimba japo choo kimoja cha shimo, Achilia mbali mikono yake ya pweza, hatuko tayari kuongozwa na mtu ambaye busara zake zinaishia siku yake ya mwisho ofisini.
Inaonekana mwalimu wako aliyekufundisha ni Nepi. Halafu una chuki binafsi dhidi ya Lowassa. Shule za kata zimetelekezwa baada ya Lowassa kuachia ngazi.
 
Unatumia makalio kufikiri. Kwani Lowassa si mchapa kazi? .

Ni kweli anakuchapia kazi vizuri... ama.? Alichapa kazi ya shule za kata matokeo yake uliyaona,pia akachapa kazi ya Richimond vizuri tu na leo tunalia watanzania.Mvua ya kuchakachua alikuwa mbioni kutuingiza mkenge mwingine mungu akasaidia ilikotaka kutolewa hali ikachafuka.
Namkubali kwa uchapa kazi uliotukuka ktk suala zima la kufisadi mali za watanzania yeye na magamba mengine.
Hebu shuhudia hapo chini Alivyopokelewa jana kwa kuzomewa na wenye akili huko Arumeru
Lowassa azomewa.jpg
Wananchi wajipanga barabarani huko Arumeru na kumzomea Aliyekuwa Waziri mkuu Ndugu Edward Lowasa Kwa kuonesha alama ya V inayotumiwa na CDM
 
Ukweli daima siku zote ni mchungu ila itabidi uumeze hivyo hivyo. Lowassa ni chaguo la umma 2015. Hatudanganyiki na porojo na chuki zenu.
Namuomba sana Mungu CCM walogwe wampitishe lowasa kama mgombea wa Urais ili ushindi wa CDM uwe rahisi kama kumeza maji. Najua EL hapo atapata mwanya wa kuwahonga wa TZ kwa pesa alizoiba lakini haitasaidia kwa sababu waTZ tutakua wajanja sana kipindi hicho.
 
Back
Top Bottom