Very stupid ,,,,,mtu mwenye akili busara hawezi kuongea utoto kama huo.ungekuwa wewe ungekubali kipima bila rizaa yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lets shake hand my dear....siwezi kumfanyia ivo vitu mwanaume ambae siyo mume wangu kabisa hata ela tu sikupi boraa nikununulie shati uvae basiiiii
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Yaani nakuunga mkono kabisa kuomba ela mwanaume hapana kabisa,japo wenyewe siku hizi ndo waombaji wakubwa yan wananiuzi sana nina boyfriend na yeye kila kukicha ni kuomba ela tu na sijawahi kumpa ila hakomi.kama kuna kitu mwanaume ataniuzi mno ni kuniomba ela kwakwel
Sent from my HUAWEI...
Mimi.siwez yan atakuwa amenikwaza sana mimi hata akipiga tu cm mbele yangu mimi nanuna,,,yan nataka kama unanipenda sana basi umwambie ma mkeo kuwa kuna mimk ili tuwe tunakaa roho juu wote
Nazani ww ndo hujaelewa apo mtoa mada yupo sahihi hata kama hakuwaleta yeye kwann awatangaze ivo hakuna sheria ya ivo hata weww mfano ukatangazwe mbele za watu kuwa unaukimwi siyo fair kabisaaaa maana hujui kesho ya hao watoto itakuwaje.makonda kichwani ni.zero
Hizi mada mimi naona ni upuuzi mkubwa sana yan mara mume wa mtu mara mke wa mtu nazan ni maswali ya busara sana kujiuliza kwanini wanacheat? Mtapoteza muda kudili na matawi alaf unaacha shina.na kuna wanaume wengine wanaipenda iyo michepuko kuliko hata wake zao wapo razi kufanya lolote.acheni...
Upo sahihi kabisa hata ukisoma warumi kuna sehem kabisa inasema mungu hakuweka agano na masikini.kwa maana ukiweka agano na masikini ni rahisi sana kulubuniwa.ni wakati sasa watu wanatakiwa wasome biblia na kuielewa vzuri.hata yesu alifanya huduma kamilifu ya kiroho na kimwili sasa wahubiri...
Wanawake wengi ujinga mwingiii hawaju kuhudumiwa waume zao kama unahudumia vzur nje atatoka? Kwanza ukitambulishwa unaongezeka nini kama cc tupo tunafanya maisha tena ya maendeleo ukute hata ww unaishi nyumba ya kupanga wenzio tunajenga tena kwa jina langu sasa apo nililie kutambulishwa ili...
Wewe labda hao watoto wa secondary ila tu mdada anaejielewa harubuniwi kwa cm wanafanya vtu vya maana tena ambavyo hata mkewe afanyiwi kabisa na ukijua utazimia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.