Uwapo faragha na mume/mke wa mtu.

Uwapo faragha na mume/mke wa mtu.

Unamkatisha, unamwambia "bwana eeh achana na habari za mkeo, kwanza mkeo mwenyewe naweza kumchora hata kwa mkono wa kushoto....
 
Mimi.siwez yan atakuwa amenikwaza sana mimi hata akipiga tu cm mbele yangu mimi nanuna,,,yan nataka kama unanipenda sana basi umwambie ma mkeo kuwa kuna mimk ili tuwe tunakaa roho juu wote
 
Vipi dada limekutokea nini?

Any way kwa mtazamo wangu naona hapo bado nafsi ya huyo mtenda ambaye anamsifia mwenza wake bado iko hai, na baada hapo hupata majuto juu ya alichokuwa anakifanya. Ndio maana tunashauliwa ni vema kila mmoja kuwa na wake. Hii ya kuvamia mapori ya watu inatupotezea muda tu
Nikweli sometime huwa tunajuta coz hakuna response yeyote kwa yule mlie sex nae unabakia kulaum nafsi Tu!ihate them!Mara nying Tofaut ni pale unapomtoa posho ndogo!
 
Habari za Ijumaa wapendwa,

Hivi unapokuwa maeneo ya faragha na mume au mke wa mtu, na ghafla tu anaanza kumsifia mke/mume wake unajisikiaje? Hatua gani utakayo chukua?
Inawezekana alitarajia kufaidi zaidi ya alivyozoea siku zote kwa mke/mme wake matokeo yake akakuta tofauti yaani mkewe/ mmewe ni zaidi ya aliyetembea naye hapo ndio anapotoa hayo maneno yake ya shombo
 
Jibu ni rahisi sana shosti.nami naunganishia kwa kumsifia mume/mke wangu
 
Back
Top Bottom