MARKO 10:25..Ni rahisi Ngamia kupenya katika tundu la sindano kuliko tajiri kuingia katika ufalme Wa Mungu..
Pasipo kuutafakali vizuri; Msitari huu watu wengi sana walio FUKARA Hujiliwaza Kwa kuamini kwamba wapo njia sahihi ya kuuona ufalme Wa Mungu, wengi huamini kwamba moja ya tiketi ni UFUKARA Ili kuuona ufalme Wa Mungu. (SI KWELI HATA KIDOGO).
KUANZIA LEO ISHI KATIKA KAULI IFUATAYO "NI RAHISI KWA MWENYE MALI KUUONA UFALME WA MUNGU KULIKO FUKARA KUINGIA MBINGUNI".
Fukara ni mtu wa lawama sana.
Fukara ni rahisi kuiba
Taifa la watu fukara limejaa wanafiki
Ufukara ndiyo mtego mkuu wa shetani.
KUMBUKA JAMBO HILI!
Fedha, mashamba, Magari, majumba na vyooote uvionavyo ni Mali ya Mungu!
Sasa kwanini ufe Ufukara? Yaani mlima mlefu Africa upo Tanzania, mbuga, bahari, wanyama, ardhi nzuuri ya kijani na mambo kedekede yapo Tanzania halafu wewe ufe na ufukara kweli? HAPANA KWA KWELI!
Kwanza tambua hili;
Msije mkono mitupu madhabahuni pa Mungu, hapo ni Fedha.
Sadaka kanisani ni fedha!
Kujenga kanisa au msikiti ni fedha!
Sasa iweje tajiri asiingie katika ufalme Wa Mungu kirahisi? Fedha ni sabuni : fedha huleta amani, njaa peke yake huwapotosha watu!
Nafahamu ya kuwa katika Mathayo 5:3, Yesu Kristo alisema; “Heri walio maskini wa roho; maana ufalme wa mbinguni ni wao.” Watu wengi wanapousoma mstari huu, wanadhani Yesu Kristo alisema “Heri walio maskini wa mahitaji ya MWILI; maana ufalme wa mbinguni ni wao.” Lakini Kristo hakusema hivyo.
Mtu maskini maana yake ni mtu mhitaji. Yesu Kristo aliposema “Heri walio maskini wa roho …….”
Alikuwa ana maana ya kusema ‘Heri walio wahitaji wa mambo ya rohoni; maana ufalme wa mbinguni ni wao. Ndiyo maana aliongeza kusema, “Heri wenye njaa na kiu ya haki; maana hao watashibishwa" (Mathayo 5:6).
Sasa kamwe usijifariji kwa ufukala wako hapa duniani, waweza kuwa fukara duniani na mbinguni ukachomwa!
Pasipo kuutafakali vizuri; Msitari huu watu wengi sana walio FUKARA Hujiliwaza Kwa kuamini kwamba wapo njia sahihi ya kuuona ufalme Wa Mungu, wengi huamini kwamba moja ya tiketi ni UFUKARA Ili kuuona ufalme Wa Mungu. (SI KWELI HATA KIDOGO).
KUANZIA LEO ISHI KATIKA KAULI IFUATAYO "NI RAHISI KWA MWENYE MALI KUUONA UFALME WA MUNGU KULIKO FUKARA KUINGIA MBINGUNI".
Fukara ni mtu wa lawama sana.
Fukara ni rahisi kuiba
Taifa la watu fukara limejaa wanafiki
Ufukara ndiyo mtego mkuu wa shetani.
KUMBUKA JAMBO HILI!
Fedha, mashamba, Magari, majumba na vyooote uvionavyo ni Mali ya Mungu!
Sasa kwanini ufe Ufukara? Yaani mlima mlefu Africa upo Tanzania, mbuga, bahari, wanyama, ardhi nzuuri ya kijani na mambo kedekede yapo Tanzania halafu wewe ufe na ufukara kweli? HAPANA KWA KWELI!
Kwanza tambua hili;
Msije mkono mitupu madhabahuni pa Mungu, hapo ni Fedha.
Sadaka kanisani ni fedha!
Kujenga kanisa au msikiti ni fedha!
Sasa iweje tajiri asiingie katika ufalme Wa Mungu kirahisi? Fedha ni sabuni : fedha huleta amani, njaa peke yake huwapotosha watu!
Nafahamu ya kuwa katika Mathayo 5:3, Yesu Kristo alisema; “Heri walio maskini wa roho; maana ufalme wa mbinguni ni wao.” Watu wengi wanapousoma mstari huu, wanadhani Yesu Kristo alisema “Heri walio maskini wa mahitaji ya MWILI; maana ufalme wa mbinguni ni wao.” Lakini Kristo hakusema hivyo.
Mtu maskini maana yake ni mtu mhitaji. Yesu Kristo aliposema “Heri walio maskini wa roho …….”
Alikuwa ana maana ya kusema ‘Heri walio wahitaji wa mambo ya rohoni; maana ufalme wa mbinguni ni wao. Ndiyo maana aliongeza kusema, “Heri wenye njaa na kiu ya haki; maana hao watashibishwa" (Mathayo 5:6).
Sasa kamwe usijifariji kwa ufukala wako hapa duniani, waweza kuwa fukara duniani na mbinguni ukachomwa!