Kama wewe sio kijana lala mbele na uzee wako vijana hatudanganyiki kwa kanga na kofia za ccm. Unafahamu kuna njia napi za kudai haki wewe au upo usinizini??? Acha ulopokaji bado una elimu ya kizamani kaa kando.
Sasa CHADEMA yatikisa wananchi katika Mkoa wa Kigoma leo wakianzia wilaya ya Kakonko na Kibondo.
Wametikisa raia sasa laini kama unanawa CHADEMA itaamka kidedea mwaka 2015 hususani Jimbo la Buyungu
Wanajf sasa police walikuwa wakikataa kuhusika katika milipuko ya Bomu Arusha sasa wamebainika Dar kwenye mlipuko wa bomu katika mkutano wa CHADEMA. Na police wanadai ni bahati mbaya au walichelewa kulitega.
Wanahaha na kudai ni ahati mbaya. Je, Police wanaruhusiwa kumiliki mabomu ovyo ovyo...
Kama umem unatosha mbona mkoa wa Kigoma na mikoa mingine umeme kwao ni ndoto miaka yote? Muhongo ajaribu kutumia busara kabla ya kutenda hapo kachapia xsana.
Wananchi ndani ya Mkoa wa Kigoma wamejipagna vilivyo kukitupilia mbali chama cha CCM mwaka wa uchaguzi mkuu 2015 kwani kimeshindwa kutekeleza mipango yake juu ya Mkoa huu tokea enzi zaTANU.
Hata hivyo 2010 CCM ilifanikiwa kupata wabunge watatu tuu ikiwa ni pamoja na kutumia mabavu. Raia wema...
Msajili wa vyama vya siasa John Tendwa aking'arisha chama cha CHADEMA kwa kushindwa kukiadhibu chama cha CCM kwa kuunda kundi la Green Guard na kutaka kukiadhibu chama cha CHADEMA kwa kuunda kikundi cha Red Brigade.
Bila msajili huyu kufahamu kuwa anakidhoofisha Chama cha CCM kwa uonevu...
Mimi ni mwalimu nafundisha hivyo kuna andalio la somo ndio mwongozo. Hivyo haya yote yanafundishwa baada ya andalio la somo kukamilika.
Mfano mimi nafundisha ushairi, riwaya na tamthiliya katika dhamira ya suala la uongozi mbaya unategemea mifano kuntu nitatoa ipi kama sio viongozi ndani ya...
Kaa chini ufikirie kwanza ni vyombo vingapi vya habari Tz vilitangaza matokeo ya CHADEMA ya udiwani Arusha ndo uweke thread yako.
Acha kuvipaka matope vyombo vya habari.
Nyerere alisema, "Kama raia watakosa haki zao ndani ya CCM basi waazitafuta hata nje a CCM".
Ndoto hizi sasa zinaanza kuonekana wazi si Arusha pekee hadi Kigoma. Mfano; Kigoma kuna wabunge watatu tuu wa CCM hata hivyo walipita kimabavu. Walipita kupitia tamko kutoka kwa Rais kwa wakurugenzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.