kabhakulu.com
Member
- Apr 17, 2013
- 70
- 8
Nyerere alisema, "Kama raia watakosa haki zao ndani ya CCM basi waazitafuta hata nje a CCM".
Ndoto hizi sasa zinaanza kuonekana wazi si Arusha pekee hadi Kigoma. Mfano; Kigoma kuna wabunge watatu tuu wa CCM hata hivyo walipita kimabavu. Walipita kupitia tamko kutoka kwa Rais kwa wakurugenzi wa Wilaya lakini Kwa Felix Mkosamali wakanoa meno kwenye Chuma.
2015 CCM ndani ya mkoa wa Kigoma ndo kwa kheri vyama pinzani ndani ya Bunge
Ndoto hizi sasa zinaanza kuonekana wazi si Arusha pekee hadi Kigoma. Mfano; Kigoma kuna wabunge watatu tuu wa CCM hata hivyo walipita kimabavu. Walipita kupitia tamko kutoka kwa Rais kwa wakurugenzi wa Wilaya lakini Kwa Felix Mkosamali wakanoa meno kwenye Chuma.
2015 CCM ndani ya mkoa wa Kigoma ndo kwa kheri vyama pinzani ndani ya Bunge