CCM Kwaheri ndani ya Mkoa wa Kigoma 2015

CCM Kwaheri ndani ya Mkoa wa Kigoma 2015

are you high on cocaine?

chadema ikifukuza mtu inakuwa imefanya utafiti kwa tanzania wanaangalia kama record ya mwanachama iko milembedodoma(hospitali ya vichaa)kwa ukwanapata file kama aliwahi kuhudhuria goodmayes hospital.watoto wana kazi si kila mtu anayeitwa baba anastahili. Si kila mtu umjibu maana mungu ana kazi kuna wengine aliwapa ubongo kufikiria wengine aliwaumba vichwa vyao vifanyiwe utafiti
 
Hivi zile tetesi zilizoenea Arusha ni za kweli?

I mean, hivi ni kweli kunamheshimiwa mbunge kutoka Chadema kiboga kinaliwa?

Kuna blog nimeona wameandika Serengeti Freight nao wanajihusisha na drugs,je ni kweli?jibu lako ndo litarahisisha swali lako
 
songeni mbele hakuna kulala mpaka kieleweke mwaveja sana..
 
Wananchi ndani ya Mkoa wa Kigoma wamejipagna vilivyo kukitupilia mbali chama cha CCM mwaka wa uchaguzi mkuu 2015 kwani kimeshindwa kutekeleza mipango yake juu ya Mkoa huu tokea enzi zaTANU.

Hata hivyo 2010 CCM ilifanikiwa kupata wabunge watatu tuu ikiwa ni pamoja na kutumia mabavu. Raia wema wanaihakikishia CCM kuwa mwaka 2015 haitapata mbunge hata mmoja. Wabunge wote watapatikana kutoka ktk vyama pinzani pekee ikiwa ni CHADEMA na NCCR-Mageuzi.

CCM chali cha mende Mkoani Kigoma. Sasa siasa za Arusha zahamia Mkoani Kigoma. Tulianza na Mungu Tutamalia na Mungu. Mungu ibariki Kigoma Mungu ibariki Mikoa yote ya Tanzania
Itawezekana kama Jack Zoka na yule mdogo wake hawatakuwepo kwenye siasa 2015.
 
Kwa taarifa yako mbadala wa Zito ni zaidi ya zito, huyo ndiyo mwalimu wa zito katika siasa, anaitwa yaredi fubusa, huyo ni zaidi ya tundu lisu, kwa wale waliosoma milambo sec 1994 wanamkumbuka alikuwa mwenyekiti wa shule akapingana na walimu kwa msimamu dhabiti wakamtoa, akiwa shule aliwahi kumtikisa Dr Warid Kabour wakati huo upinzania ulikuwa Kigoma tu Tanzania nzima, Arusha wamejifunza siasa za upinzani kutoka kigoma, ni mkoa uliotoa mbunge kutoka chadema aka upinzani nchi nzima yaani Dr. Warid Kabour 1993 mwaka mmoja tu baada ya kuruhusiwa kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa. Arusha wanapata machungu ya polisi sasa wakati sisi hata makovu yanafutika, kwenye uchaguzi wa 1994 train mbili zikiwa na askali polisi zilitua kuzima upinzania lakini walishindwa. hivyo kaskazini ni wajukuu wa siasa za upinzani kwetu. Sisi hatuandamani wala kupigana tunafanya kweli kwenye sanduku la kupiga kura, ukisema tuandamane tunakuacha tunaenda zetu shambani au kazini lakini letu moja. Hata hatuhitaji kuhamasishwa tunajua wajibu wetu kwaani tumekomaa kisiasa kama wapiga kura. Na hatuchagui majina bali tunachagua wachapa kazi mfano: ZITO KABWE, MOSES MACHALI, MKOSAMALI, DAVID KAFULILA nani asiyejua michango yao bungeni? na kama si hila za CCM kuiba kura kwenye majimbo ya kigoma mjini peter serukamba na obama kasulu magharibi CCM ingekuwa hoi, kidogo Mheshimiwa waziri eng Christopher Chiza kwa sababu hana siasa za maji taka tunamheshimu japo yupo CCM.

Watanzania njooni mjifunze siasa Kigoma.

😛eace:
 
unajifariji subili uone moto wa ccm hao chadema hawatapata kiti hata kimoja na ukizingatia zito wamemweka kando ngoma itakuwa pevu.

unanikumbusha ndoto za babu makamba 2010 aliposema CHADEMA hawataachiwa kiti cha ubunge hata kimoja! matokeo yake.....................!
 
Wananchi ndani ya Mkoa wa Kigoma wamejipagna vilivyo kukitupilia mbali chama cha CCM mwaka wa uchaguzi mkuu 2015 kwani kimeshindwa kutekeleza mipango yake juu ya Mkoa huu tokea enzi zaTANU.

Hata hivyo 2010 CCM ilifanikiwa kupata wabunge watatu tuu ikiwa ni pamoja na kutumia mabavu. Raia wema wanaihakikishia CCM kuwa mwaka 2015 haitapata mbunge hata mmoja. Wabunge wote watapatikana kutoka ktk vyama pinzani pekee ikiwa ni CHADEMA na NCCR-Mageuzi.

CCM chali cha mende Mkoani Kigoma. Sasa siasa za Arusha zahamia Mkoani Kigoma. Tulianza na Mungu Tutamalia na Mungu. Mungu ibariki Kigoma Mungu ibariki Mikoa yote ya Tanzania
kwa siasa za kigoma ni kweli inabidi wajipange CCM sana otherwise. nakumbuka uchaguzi wa wenyeviti wa mtaa ujiji kama miaka 14 iliyopita jeshi la polisi walitumia nguvu sana , mpaka mgombea wa CDM naye akafunguliwa kesi na kutupwa rumande lakini wananchi walimchagua tu tena kwa kura nyingi mno , baada ya kuweka mtu pamoja na mkeka watu wakapigia kura mkeka , ujiji ndiyo fitina ilipozaliwa siyo arusha ila kuna mtu mmoja tu kigoma ambaye atasumbua sana ushindi wa CDM kigoma ni WALID KABOROU mwenyekiti wa ccm mkoa, jamaa yupo makini sana .
 
Kwa kweli kigoma siasa wanaijua. Sijui nccr walifanyaje mpaka wakapata wabunge kasulu. Mbunge obama ni mwepese kisiasa, hajui siasa lakini anachojua ni kumwaga takrima hata kama imepigwa marufuku
 
Kwa taarifa yako mbadala wa Zito ni zaidi ya zito, huyo ndiyo mwalimu wa zito katika siasa, anaitwa yaredi fubusa, huyo ni zaidi ya tundu lisu, kwa wale waliosoma milambo sec 1994 wanamkumbuka alikuwa mwenyekiti wa shule akapingana na walimu kwa msimamu dhabiti wakamtoa, akiwa shule aliwahi kumtikisa Dr Warid Kabour wakati huo upinzania ulikuwa Kigoma tu Tanzania nzima, Arusha wamejifunza siasa za upinzani kutoka kigoma, ni mkoa uliotoa mbunge kutoka chadema aka upinzani nchi nzima yaani Dr. Warid Kabour 1993 mwaka mmoja tu baada ya kuruhusiwa kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa. Arusha wanapata machungu ya polisi sasa wakati sisi hata makovu yanafutika, kwenye uchaguzi wa 1994 train mbili zikiwa na askali polisi zilitua kuzima upinzania lakini walishindwa. hivyo kaskazini ni wajukuu wa siasa za upinzani kwetu. Sisi hatuandamani wala kupigana tunafanya kweli kwenye sanduku la kupiga kura, ukisema tuandamane tunakuacha tunaenda zetu shambani au kazini lakini letu moja. Hata hatuhitaji kuhamasishwa tunajua wajibu wetu kwaani tumekomaa kisiasa kama wapiga kura. Na hatuchagui majina bali tunachagua wachapa kazi mfano: ZITO KABWE, MOSES MACHALI, MKOSAMALI, DAVID KAFULILA nani asiyejua michango yao bungeni? na kama si hila za CCM kuiba kura kwenye majimbo ya kigoma mjini peter serukamba na obama kasulu magharibi CCM ingekuwa hoi, kidogo Mheshimiwa waziri eng Christopher Chiza kwa sababu hana siasa za maji taka tunamheshimu japo yupo CCM.

Watanzania njooni mjifunze siasa Kigoma.

Ila tunatia aibu kwa kuwa na mbunge Shoga. Inasikitisha sana lakini iko hivyo.
 
Nawe je? Mbona waziri nae tetesi au humjui?Na mewani zenu za mbao! Hata dhaifu alisema hamuwezi kula hadi mliwe kiduchu[QQUOTE=Chilisosi;6863699]Hivi zile tetesi zailizoenea Arusha ni za kweli?

I mean, hivi ni kweli kunamheshimiwa mbunge kutoka Chadema kiboga kinaliwa?[/QUOTE]
 
zikeni tu hilo lichama lililooza mirushwa! Piga chini mafisadi wote
 
Back
Top Bottom