CCM Kwaheri ndani ya Mkoa wa Kigoma 2015

CCM Kwaheri ndani ya Mkoa wa Kigoma 2015

kabhakulu.com

Member
Joined
Apr 17, 2013
Posts
70
Reaction score
8
Wananchi ndani ya Mkoa wa Kigoma wamejipagna vilivyo kukitupilia mbali chama cha CCM mwaka wa uchaguzi mkuu 2015 kwani kimeshindwa kutekeleza mipango yake juu ya Mkoa huu tokea enzi zaTANU.

Hata hivyo 2010 CCM ilifanikiwa kupata wabunge watatu tuu ikiwa ni pamoja na kutumia mabavu. Raia wema wanaihakikishia CCM kuwa mwaka 2015 haitapata mbunge hata mmoja. Wabunge wote watapatikana kutoka ktk vyama pinzani pekee ikiwa ni CHADEMA na NCCR-Mageuzi.

CCM chali cha mende Mkoani Kigoma. Sasa siasa za Arusha zahamia Mkoani Kigoma. Tulianza na Mungu Tutamalia na Mungu. Mungu ibariki Kigoma Mungu ibariki Mikoa yote ya Tanzania
 
Safi sana wana kigoma...ikataeni ccm kwa nguvu zooote .makamanda wote big up sana 😛eace:
 
Hivi zile tetesi zilizoenea Arusha ni za kweli?

I mean, hivi ni kweli kunamheshimiwa mbunge kutoka Chadema kiboga kinaliwa?
 
Hongereni "Wachaga" wa Kigoma

😛eace:😛eace:😛eace:

Alutta continua!! continua!!
 
unajifariji subili uone moto wa ccm hao chadema hawatapata kiti hata kimoja na ukizingatia zito wamemweka kando ngoma itakuwa pevu.
 
kwani chadema nacho ni chama cha siasa? hili ni genge la wahuni na wauaji tu.
 
unajifariji subili uone moto wa ccm hao chadema hawatapata kiti hata kimoja na ukizingatia zito wamemweka kando ngoma itakuwa pevu.

Kwa taarifa yako mbadala wa Zito ni zaidi ya zito, huyo ndiyo mwalimu wa zito katika siasa, anaitwa yaredi fubusa, huyo ni zaidi ya tundu lisu, kwa wale waliosoma milambo sec 1994 wanamkumbuka alikuwa mwenyekiti wa shule akapingana na walimu kwa msimamu dhabiti wakamtoa, akiwa shule aliwahi kumtikisa Dr Warid Kabour wakati huo upinzania ulikuwa Kigoma tu Tanzania nzima, Arusha wamejifunza siasa za upinzani kutoka kigoma, ni mkoa uliotoa mbunge kutoka chadema aka upinzani nchi nzima yaani Dr. Warid Kabour 1993 mwaka mmoja tu baada ya kuruhusiwa kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa. Arusha wanapata machungu ya polisi sasa wakati sisi hata makovu yanafutika, kwenye uchaguzi wa 1994 train mbili zikiwa na askali polisi zilitua kuzima upinzania lakini walishindwa. hivyo kaskazini ni wajukuu wa siasa za upinzani kwetu. Sisi hatuandamani wala kupigana tunafanya kweli kwenye sanduku la kupiga kura, ukisema tuandamane tunakuacha tunaenda zetu shambani au kazini lakini letu moja. Hata hatuhitaji kuhamasishwa tunajua wajibu wetu kwaani tumekomaa kisiasa kama wapiga kura. Na hatuchagui majina bali tunachagua wachapa kazi mfano: ZITO KABWE, MOSES MACHALI, MKOSAMALI, DAVID KAFULILA nani asiyejua michango yao bungeni? na kama si hila za CCM kuiba kura kwenye majimbo ya kigoma mjini peter serukamba na obama kasulu magharibi CCM ingekuwa hoi, kidogo Mheshimiwa waziri eng Christopher Chiza kwa sababu hana siasa za maji taka tunamheshimu japo yupo CCM.

Watanzania njooni mjifunze siasa Kigoma.
 
mungu awatangulie na awasimamie mwanzo mwisho msije mkabadilika jamani manake magamba alikua hospitali ya muhimbili imeshndikana na anasubiria kufanyiwa operesheni kitakachompeleka ahera.
 
Wananchi ndani ya Mkoa wa Kigoma wamejipagna vilivyo kukitupilia mbali chama cha CCM mwaka wa uchaguzi mkuu 2015 kwani kimeshindwa kutekeleza mipango yake juu ya Mkoa huu tokea enzi zaTANU.

Hata hivyo 2010 CCM ilifanikiwa kupata wabunge watatu tuu ikiwa ni pamoja na kutumia mabavu. Raia wema wanaihakikishia CCM kuwa mwaka 2015 haitapata mbunge hata mmoja. Wabunge wote watapatikana kutoka ktk vyama pinzani pekee ikiwa ni CHADEMA na NCCR-Mageuzi.

CCM chali cha mende Mkoani Kigoma. Sasa siasa za Arusha zahamia Mkoani Kigoma. Tulianza na Mungu Tutamalia na Mungu. Mungu ibariki Kigoma Mungu ibariki Mikoa yote ya Tanzania


Saafi sana Kigoma.Tunawaaminia.
Kiukweli ni kwamba KG mko juu kwenye harakati za Siasa zenye kuleta Mabadiliko.
 
Zito kabwe, moses machali, mkosamali, david kafulila acha tu.
 
Hivi zile tetesi zilizoenea Arusha ni za kweli?

I mean, hivi ni kweli kunamheshimiwa mbunge kutoka Chadema kiboga kinaliwa?

mzee wa kutanga na njia. Umri huo bado hujitambui tu? We unavyodhani huu upuuzi ulioandika hapa una msaada wowote kwa ccm? Au umekuja kuuza sura JF! Ndio maana vichwa timamu vinatoka ccm kuja cdm na makapi ya cdm yanahamia ccm. Mtajichuja hadi kieleweke.
 
are you high on cocaine?

chadema ikifukuza mtu inakuwa imefanya utafiti kwa tanzania wanaangalia kama record ya mwanachama iko milembedodoma(hospitali ya vichaa)kwa ukwanapata file kama aliwahi kuhudhuria goodmayes hospital.watoto wana kazi si kila mtu anayeitwa baba anastahili.
 
Back
Top Bottom