kabhakulu.com
Member
- Apr 17, 2013
- 70
- 8
Msajili wa vyama vya siasa John Tendwa aking'arisha chama cha CHADEMA kwa kushindwa kukiadhibu chama cha CCM kwa kuunda kundi la Green Guard na kutaka kukiadhibu chama cha CHADEMA kwa kuunda kikundi cha Red Brigade.
Bila msajili huyu kufahamu kuwa anakidhoofisha Chama cha CCM kwa uonevu huu anaoufanya juu ya chama cha CHADEMA unawapa mwangaza raia wema kuzidi kukipenda chama hicho.
Bila msajili huyu kufahamu kuwa anakidhoofisha Chama cha CCM kwa uonevu huu anaoufanya juu ya chama cha CHADEMA unawapa mwangaza raia wema kuzidi kukipenda chama hicho.