Recent content by Jyhamah Juma

  1. Jyhamah Juma

    Rais Magufuli amdhalilisha Meya wa UKAWA Manispaa ya Ilala

    Fanyeni kazi msiwe watu wa kufatilia v2 vidogvdogo hatukuwachagua kwa kaz ya kutaka kuona mnasifiwa bali kazi!!!mi nikajua umetukanwa?kumbe ni kutotajwa tu?ahgha hii haijaniingia akilin
  2. Jyhamah Juma

    "Mapenzi yanasumbua wajinga"

    Ni ukweli mtupu
  3. Jyhamah Juma

    RIWAYA: Mtumwa wa Ngono

    dah hii kali unachukuliwa unaona hvhv
  4. Jyhamah Juma

    Kutoka kwa Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue: Siku 100 za Rais Magufuli

    hawezi kumkosoa hata siku moja japo kuwa kuna ukweli 67% juu ya anachokizungumza kuhusu siku 100 za rais.
  5. Jyhamah Juma

    Asili ya maneno 'Shikamoo' na 'Marahaba' ni utumwa, kwanini tunaendelea kuyatumia?

    Bs waadabishe coz adabu haichagui rika naona wanajeuri kisa umewakuta ofisini>>>>watie adabu
  6. Jyhamah Juma

    Hamad Rashid kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar?

    Yan ni kama kuwa NA mke alafu una kimada kisichokuwa NA sifa ya kuwa mke!!cjamaanisha moja kw moja ila nahis ndo sabbu inayofanya afanyiwe hivyo ,embu mi naww tujiulize jamaa kashinda chaguzi ngapi? Alafu anaambulia kudhulumiwa TU NA sabbu haijulkan may b hii nd sabb!!!kuruhsiwa kugombea c...
  7. Jyhamah Juma

    Asili ya maneno 'Shikamoo' na 'Marahaba' ni utumwa, kwanini tunaendelea kuyatumia?

    Toa heshima we ni bwana mdogo husilewe cheo!!!Ila mazoea acha just wape heshima yao lakini swala kuwabana kazini usililetee heshima OVer!!!
  8. Jyhamah Juma

    Zitto aanza vita ya wazi dhidi ya Rais Magufuli

    Mambo c hayo sasa,yani ni raha xana Kutokuwa NA chama coz unakuwa neutral(katikati)!!Ni mwendo wa kusikilizia TU ka unatizama sinema vileeeee!!!!!!!!!!!!!!.
Back
Top Bottom