Fanyeni kazi msiwe watu wa kufatilia v2 vidogvdogo hatukuwachagua kwa kaz ya kutaka kuona mnasifiwa bali kazi!!!mi nikajua umetukanwa?kumbe ni kutotajwa tu?ahgha hii haijaniingia akilin
Yan ni kama kuwa NA mke alafu una kimada kisichokuwa NA sifa ya kuwa mke!!cjamaanisha moja kw moja ila nahis ndo sabbu inayofanya afanyiwe hivyo ,embu mi naww tujiulize jamaa kashinda chaguzi ngapi?
Alafu anaambulia kudhulumiwa TU NA sabbu haijulkan may b hii nd sabb!!!kuruhsiwa kugombea c...
Mambo c hayo sasa,yani ni raha xana Kutokuwa NA chama coz unakuwa neutral(katikati)!!Ni mwendo wa kusikilizia TU ka unatizama sinema vileeeee!!!!!!!!!!!!!!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.