Recent content by justinebirigi

  1. J

    Vyuo bora Tanzania kwa kozi mbalimbali

    KILA CHUO NI BORA KINACHOTOFAUTISHA NI MAJENGO NA WINGI WA WANAFUNZI TU
  2. J

    Uwezo ulioumbwa nao ni mkubwa sana, fuata amri hizi za Mafanikio

    Lakini katika yote hayo kinachohitajika ni UTHUBUTU NA UTAMBUZI AMBACHO WENGI TUNAKIKOSA
  3. J

    Mchakato wa kuondoa umiliki wa hisa 51% za UDA kwa kampuni ya Simoni Group waanza

    hilo ni jambo jema.....pongezi kwa wote waliofanikisha hili...Yote yanawezekana kwa kufuata na kutii sheria za nchi yetu na kumuheshimu kila mmoja kwa nafasi yake
  4. J

    Wanawake, hizi ndizo sababu za kutoolewa kwetu

    TUMUULIZE SWALI MTOA MADA.... AJE KUTWAMBIA KUOA AU KUOLEWA UNAJIPANGIA WEWE AU MUNGU NDO ANAYEPANGA.....MAANA KWA KAULI ZAKO KANA KWAMBA UNAJUA TAR ZA WATU KUOLEWA
  5. J

    Hili nalo: Wanawake huwaibia waume zao mifukoni

    yn mukuu kwa hili swala baili tu ndo hawezi kuoa kwa kauli hiyo nayoisema
  6. J

    Hili nalo: Wanawake huwaibia waume zao mifukoni

    hamn jamaa huo ni kuonyesha kwamba tuko pamoja kama mwili mmoja changu chake chake changu, ko achukue kikubwa ni taarifa tu
  7. J

    Wanaume ingieni huku Mara moja

    mtoa thread umepanic sana...ukitaka kumuelimisha mtu nenda nae taratibu sana na usigeneralizi kabl hujafanya utafiti
  8. J

    Bunge laahirishwa ghafla, ni baada ya Zitto kuomba Muongozo

    nakushangaa sana UKAWA wapo kwa maslahi ya nchi ko hoja inapokuwa ya msingi lazima ijadiliwe na kuweka ushabiki wa kivyama pembeni cio kila jambo ni siasa mengine yahitaji UMOJA NA MSHIKAMANO KAMA NCHI ILI TUFIKE
  9. J

    CUF, Kwanini kuleta Mdahalo Bara badala ya Zanzibar?

    kwani walionda kongamano ni akina nani....MSAADA PLZ???
  10. J

    Mgogoro wa Zanzibar, Fatma Karume kanifunga akili

    nisingependa nione pumba au maneno yasiyokuwa n maana nanukuu ya mwandishi kama uchaguzi wa mwaka 2000 cuf walisema urudiwe lakini mkapa akagoma na kusema utarudiwa sehemu zilizokuwa na dosari kwanini 2015 urudiwe nchi nzima .........aaaahhhhhaaahhh sasa naamini ile kauli ya Maalim Seif kuwa...
  11. J

    Mfumo wa GPA wafutwa na Waziri Ndalichako

    tunamshukuru profesa kwa kuliona hilo yaani mtaani hakuna heshima kati ya mwanafunzi wa chuo kikuu na wa kidato cha sita kisa wote tupo kwenye GPA.........NAUNGA MKONO HOJA ASILIMIA MIA ASANTE PROF.
Back
Top Bottom