MBUNIFUmdogo
Member
- Oct 15, 2015
- 40
- 9
Elewa list wewe,ninamaana hujaona SUA hapo,kwa ujumla SUA ipo.SUA je?! Nao wanapoteza mda basi naomba nikuite kilaza
Elewa list wewe,ninamaana hujaona SUA hapo,kwa ujumla SUA ipo.SUA je?! Nao wanapoteza mda basi naomba nikuite kilaza
Mwanzoni mwa 90sMara sec ya mwaka upi hilo pute sijaliona mm, ile shule ilifanya nipende shule
Duh, shikamooMwanzoni mwa 90s
We si ndio ulikua unaipigia debe ud???nonsense...chuo bora ni unamjua nani university.
Udsm ni chuo kikuu kilicho na wakufunzi wengi walio, kinachodahili wanafunzi wenye ufaulu mzuri katika masomo yao, ni chuo chenye uzoefu katika maswala ya kitaalamu na zaidi ni chuo ambacho serikali inawekeza nguvu zake na kukiangalia kwa jicho la pekee sana, Kukilinganisha na st.Joseph ambayo hata miaka 20 haijafikisha si haki japo hatukatai kuwa st.joseph wana mazuri yao pia.Muujiza gani kaka nataka kujua Kati ya St. Joseph na udsm.
Chanzo cha taarifa yako ni wapi??
Jamani kuna vitu vingine havinaga vyanzi