Kadi zenyewe za uanachama ni mpyaaaaaaaaaa kabisa, hao wazee hapo wanaumri zaidi ya miaaka sitin lakini cha kushangaza kadi walizoshika zina umri wa wiki moja toka zichapishwe, Ndiyo maana huyo mtot hapo kushoto ameshika tamaa, anashangaa jinsi watu wanavyopenda rushwa, lakini masikini kujana wa...