JWTZ na taarifa ya Mabomu Gongo la Mboto

JWTZ na taarifa ya Mabomu Gongo la Mboto

Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limesema hakuna kiongozi ndani ya Jeshi hilo atakayejiuzulu kufuatia vifo vya watu 21 na majeruhi 300 katika milipuko ya mabomu huko Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam, kwa kuwa nafasi hizo si za kisiasa..[/I]

Hiki kipande cha picha toka kwenye hiyo picha hapo juu. Huyu ni kiongozi wa ngazi ya juu kabisa wa jeshi anakwenda kuongea na waandishi wa habari baada ya janga kubwa lililosababisha vifo (janga ambalo imesababishwa na jeshi analoongoza) akiwa umevaa kiraia kama vile anaenda dukani! Anajua fikra habari hiyo itarushwa kitaifa na kimataifa lakini hajali! Cha zaidi anakupa tabasamu namna hii kama vile kuashiria "....mnaolalamika hamuwezi kutufanya chochote, sisi ndio sisi...hii ni issue simple to...!" Kama wanajeshi hawachukulii hili suala serious, hivi Tanzania wanajeshi wana issue gani nyingine ya kushughulikia na kuwajibishana? Maana hatuna vita sisi! Hivi huyu bwana kama ingekuwa ndugu yake kapoteza maisha kwenye hili janga na kwa sasa anakabiliwa na mambo ya mazishi angetoa tabasamu ya kebehi namna hii...?
 

Attachments

  • geshi - Copy.JPG
    geshi - Copy.JPG
    7.7 KB · Views: 53
This statement from army official tell the whole story of Tanzania. The impacts of Mwinyi, Mkapa and now Kikwete corruptions and failures will contunue to deverstate the country for many years to come. The story begin when Mwinyi introduced mafisadi policy style and ccm end up calling it capitalism or privatizations of government own companies. The corruption schemes emerged in Tanzania and the military also wanted pieces of the pie and what happened was decisions to allow army officers to own lands and businesses in Tanzania. The top army officers are now top earners in Tanzania in terms of stealing and unfair bonus for doing nothing. But majority of lower rank officers don't enjoy the money and they are hungry like hell. This is a reason why Kikwete can't request the resignation of Davis Mwamunyange. Hussein Mwinyi this is another story of political colonialism.

Tanzania Crisis Continue and Poverty Occupy the Land​
 
Mi labda nipewe maana ya Kujiuzulu na kuwajibika?

Formally Defn:
A resignation is the formal act of giving up or quitting one's office or position.

Responsibiliy: Answerable for an act performed or for its consequences; accountable; amenable, especially legally or politically; Capable of responding to any reasonable claim; able to answer reasonably for one's conduct and obligations; capable of rational conduct.

Katika hali ya kawaida mtu ambaye ni responsible pia lazma atakuwa tayari kujiuzulu kwa makosa aliyofanya na pia kuruhusu uchunguzi huru kufanyika. Pia kitaalamu sio lazma uache jeshi kama BG. Mdeme anavyotaka kuaminisha umma. Unaweza kuacha cheo ambacho kiko answerable ili wengine washike usukani.. Na wewe kubaki na cheo cha kijeshi tuu na si cha kiuongozi. Pale Jeshini kuna vyeo vingi lakini kushindwa kutimiza wajibu hakumaanishi kama wewe ni General au Brigedia General basi utavuliwa cheo cha kijeshi.. Hapana!! Bali kama wewe sijui ni mkurugenzi wa nini sijui, kiongozi wa kikosi fulani labda basi unatolewa hiko cheo. Na sisi kama wale wakuu walivyotaka kupotosha UMMA.

Mi nadhani wapishe wengine wafanye uchunguzi na watu wapewe adhabu za kijeshi kama zinavyoanishwa endapo utafanya uzembe wa kupindukia jeshi.. Mkuu wa kikosi yule Colonel wa Group 511 ni mnene mzembe aachie ngazi kwa uzembe akifuatiwa na wakubwa zake.

Nawasilisha!!
Mkuu sijakuelewa vyema,je unazungumzia accountability?
 
Yaani hao jamaa ni wapuuzi tu hakuna maelezo mengine!
 
Hiki kipande cha picha toka kwenye hiyo picha hapo juu. Huyu ni kiongozi wa ngazi ya juu kabisa wa jeshi anakwenda kuongea na waandishi wa habari baada ya janga kubwa lililosababisha vifo (janga ambalo imesababishwa na jeshi analoongoza) akiwa umevaa kiraia kama vile anaenda dukani! Anajua fikra habari hiyo itarushwa kitaifa na kimataifa lakini hajali! Cha zaidi anakupa tabasamu namna hii kama vile kuashiria "....mnaolalamika hamuwezi kutufanya chochote, sisi ndio sisi...hii ni issue simple to...!" Kama wanajeshi hawachukulii hili suala serious, hivi Tanzania wanajeshi wana issue gani nyingine ya kushughulikia na kuwajibishana? Maana hatuna vita sisi! Hivi huyu bwana kama ingekuwa ndugu yake kapoteza maisha kwenye hili janga na kwa sasa anakabiliwa na mambo ya mazishi angetoa tabasamu ya kebehi namna hii...?

AdmissionLetter,
Huyu Brigedia Jenerali anayetabasamu ni mtu wa military intelligence, hivyo wakati mwingi huwa wanavaa kiraia(JWTZ wa usalama waTaifa jeshini).

Kuhusu kujiuzulu JWTZ nao wanafuata kanuni na sheria za uajiri jeshini sawa tu na CCM wanavyocheza na katiba ya Jamhuri ya Muungano kuhalalisha uwepo wao.

Pia kama jeshini watu wakiruhusiwa kujiuzulu basi kuna siku 'watagoma kwenda kupigana mstari wa mbele' kwa sababu mbalimbali hivyo wanangoja kustaafishwa kazi kwa amri toka juu. Ndo maana jeshini usipotokea ktk 'roo-koolo' basi unahesabika AWOL-absent-with-out-leave na unashugulikiwa kwa mujibu wa taratibu na kanuni za mlinzi wa taifa a.k.a askari.

Hivyo mzigo wote anatwishwa Amiri Jeshi Mkuu(Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) na hasahasa ktk kuwawajibisha askari wa vyeo vya juu jeshini. Sasa kama Rais alikuwa siyo mkali kwa kuwa wajibisha wanasiasa, watendaji serikali kwa kashfa kubwa kubwa za kuhujumu uchumi ataweza kweli kuwawajibisha makamanda wa ngazi za juu jeshini? tusubiri labda itatokea maajabu!
 
Kuhusu kujiuzulu JWTZ nao wanafuata kanuni na sheria za uajiri jeshini sawa tu na CCM wanavyocheza na katiba ya Jamhuri ya Muungano kuhalalisha uwepo wao.

Pia kama jeshini watu wakiruhusiwa kujiuzulu basi kuna siku 'watagoma kwenda kupigana mstari wa mbele' kwa sababu mbalimbali hivyo wanangoja kustaafishwa kazi kwa amri toka juu. Ndo maana jeshini usipotokea ktk 'roo-koolo' basi unahesabika AWOL-absent-with-out-leave na unashugulikiwa kwa mujibu wa taratibu na kanuni za mlinzi wa taifa a.k.a askari.

Re: Mavazi ya kijeshi:

Yeye ni mwanajeshi na alikuwa anatoa kauli kwa niaba ya mkuu wa majeshi yetu ya nchi nzima ya Tanzania kwa hiyo ni lazima angevaa kijeshi bila kujali kitengo chake. Katika hali ya emergency kama hii na dunia nzima inaangalia kiongozi anayemwakilisha mkuu wa jeshi hata kama yeye ni daktari wa jeshi hatavaa koti la ki daktari bali sare ya jeshi ya kivita. Hivyo ndivyo wanavyofanya huko tulikochukua haya mambo.

Re kujiuzulu:

Kujiuzulu ni moja na njia za kuonesha uwajibikaji. Hata mwanajeshi anaweza kujiuzuku mradi atoe sababu zinazoeleweka na zikubaliwe na wakubwa wake. Huko tulikochukuwa hii mifuko haya mambo yanatokea. Mfano mzuri ni viongozi wa juu wa jeshi la marekani kama huyu: NewsHour Extra: Magazine Article Forces Resignation of Top U.S. General in Afghanistan | June 25, 2010 | PBS
 
fungueni macho hii nikutisha raia ombao wanataka kufanya mageuzi ya kujikomboa ktk makucha ya ccm. huu ni mpango ulioandaliwa ili kukithi matakwa yao. ndio maana hakuna hata mwanajeshi hata mmoja aliyedhurika. muda si mrefu kila kitu kitakuwa wazi
 
Re: Mavazi ya kijeshi:

Yeye ni mwanajeshi na alikuwa anatoa kauli kwa niaba ya mkuu wa majeshi yetu ya nchi nzima ya Tanzania kwa hiyo ni lazima angevaa kijeshi bila kujali kitengo chake. Katika hali ya emergency kama hii na dunia nzima inaangalia kiongozi anayemwakilisha mkuu wa jeshi hata kama yeye ni daktari wa jeshi hatavaa koti la ki daktari bali sare ya jeshi ya kivita. Hivyo ndivyo wanavyofanya huko tulikochukua haya mambo.

Re kujiuzulu:

Kujiuzulu ni moja na njia za kuonesha uwajibikaji. Hata mwanajeshi anaweza kujiuzuku mradi atoe sababu zinazoeleweka na zikubaliwe na wakubwa wake. Huko tulikochukuwa hii mifuko haya mambo yanatokea. Mfano mzuri ni viongozi wa juu wa jeshi la marekani kama huyu: NewsHour Extra: Magazine Article Forces Resignation of Top U.S. General in Afghanistan | June 25, 2010 | PBS

Mambo mengine siongei, ila hili la mavazi huyo afande yupo sawa kutokana na kitengo chake, DCI Manumba wa Polisi hata anapomwakilisha IGP huvaa kiraia pia.
 
Jamani pamoja na karibia mambo mengi sana ni kero kweli kama wananchi, hicho kilichosemwa na jeshi letu haswa ndio ukweli wa mambo; hakuna kujiuzulu pale bali ni kwamba wao mtu huadhibiwa vilivyo na kulipia uzembe wake kukithibitika katika hahakama ya kijeshi.

Tusiingize siasa huko, kwetu wa kushinikiza kujiuzulu ni Amiri Jeshi Mkuu Mhe Kikwete, Hussein Mwinyi Makatibu wakuu na wengine kidogo. Na hili hatulifumbii macho mpaka wajuzulu.
 
Wenye vyeo vya kisiasa waanze kujiuzulu kwanza kabla ya kuwashinikiza wanajeshi kujiuzulu.
 
hao watu wamepewa vyeo hivyo kwa upendeleo nakumbuka kuna ugomvi kati ya mtoto wa kingunge na mtoto wa mwamunyange na kingunge alienda nyumbani kwa mwamunyange na kumtukana na kusema hamna elimu nyie tumewapendelea tu sasa unajifanya unajua wewe. Hivyo Elimu ya watu wa jeshini ni finyu sana na upeo ndio ziro.
 
ndo maana baba alinikataza sana miaka ile kwenda kujiunga na jeshi(JWTZ) ...maana ningekuwa na akili kama za panzi kama hii midubwana..ni upumbafu na matapishi kusema hakuna atakaye jiuzuru eti jeshi sio siasa....pumbavu kabisa
 
hao watu wamepewa vyeo hivyo kwa upendeleo nakumbuka kuna ugomvi kati ya mtoto wa kingunge na mtoto wa mwamunyange na kingunge alienda nyumbani kwa mwamunyange na kumtukana na kusema hamna elimu nyie tumewapendelea tu sasa unajifanya unajua wewe. Hivyo Elimu ya watu wa jeshini ni finyu sana na upeo ndio ziro.
Alaaa! Kumbe.....
 
Huyu jamaa mjinga kabisa......hivi hajui kuwa tunaazimisha wajiuzuu kwa kuwa ni kdi zetu wanaztumia katika kuendesha shughuki zao?
 
Ndugu zangu ni hivi hakuna cha mwanjeshi wala mama yake nani. mwanajeshi si mungu kwa hiyo lazima awajibishwe, mfano mzuri naotaka kumpa huyu raisi wa mataji ni , kama ufwatao ambopo ulitokesa marekani mwaka jana, na Raisi wa watu OBAMA ALIAMAUA KAMA IFUATAVYO, NBC News and news services
updated 6/23/2010 7:58:33 PM ET Share Print Font:
WASHINGTON — President Barack Obama sacked his loose-lipped Afghanistan commander Wednesday, a seismic shift for the U.S. military order in wartime, and chose the familiar, admired — and tightly disciplined — Gen. David Petraeus to replace him. Petraeus, architect of the Iraq war turnaround, was once again to take hands-on leadership of a troubled war effort. Huyu si general jina bali ni kifaaa lakini alishindwa kuwajibika na OBAMA Hakusita kummwaga, sembuse hawa wa chekechea? WASIOJUA NAMNA YA KUHIFADHI MABOMU?wanaosema mwanajeshi hajiuzulu, kutokana nasheria za jeshi? jeshi lipi utakuwa mzembe uendelee kuongoza mageneral wengine, si wote watakuwa wazembe? Huyu lazima ANG'OKE APENDE ASIPENDE, DAMU YA WATU SI POMBE KWANI VIWANDA VINATENGENEZA KILA SIKU. kikwete amka ACHA KUUWEKA. WAMWAGE HAWA WANAKUTILIA KITUMBUA CHAKAO MCHANGA. NA KUKUPA BRESHA ZA BURE . WAMWAGE USAHA, USIPO WAMWAGA WANAUME WATAKUKALIA KOONI, FUNGUA MACHO, MZEE, WAMWAGEHAWA, KINYUMWE NA HAPO TUTAKUMWAGA WEWE KABLA YA MUDA WAKO. USIDHANI NI UTANI WAMWAGE HAWA. SHAURIYAKO TUSHAKWAMBIA WAMWAGE HAWA.
 
re: Mavazi ya kijeshi:

yeye ni mwanajeshi na alikuwa anatoa kauli kwa niaba ya mkuu wa majeshi yetu ya nchi nzima ya tanzania kwa hiyo ni lazima angevaa kijeshi bila kujali kitengo chake. katika hali ya emergency kama hii na dunia nzima inaangalia kiongozi anayemwakilisha mkuu wa jeshi hata kama yeye ni daktari wa jeshi hatavaa koti la ki daktari bali sare ya jeshi ya kivita. Hivyo ndivyo wanavyofanya huko tulikochukua haya mambo.

Re kujiuzulu:

Kujiuzulu ni moja na njia za kuonesha uwajibikaji. Hata mwanajeshi anaweza kujiuzuku mradi atoe sababu zinazoeleweka na zikubaliwe na wakubwa wake. Huko tulikochukuwa hii mifuko haya mambo yanatokea. Mfano mzuri ni viongozi wa juu wa jeshi la marekani kama huyu: newshour extra: Magazine article forces resignation of top u.s. General in afghanistan | june 25, 2010 | pbs


are you serious on this one? Nguo ndio nini?
 
Mkuu sijakuelewa vyema,je unazungumzia accountability?

Mkuu labda turudi kwenye dictionary tuu.. Mi nitatumia wikipedia.org/wiki
Accountability is a concept in ethics and governance with several meanings. It is often used synonymously with such concepts as responsibility, answerability, blameworthiness, liability, and other terms associated with the expectation of account-giving. ...
 
Anatakiwa aachie post ya CDF na sio Ujenerali wake.

MMM mbona IGP alipotakiwa kujiuzuru hamkuleta utetezi huu.

Wanajua udhaifu wa Amiri Jeshi mwenye kuongoza Baraza la Usalama.
Nani alitarajia baraza lililoitishwa kwa mbwembwe lingekuja na lame resolutions za kuagiza majeruri watibiwe bure, mkoa ugharimie mazishi, wananchi walipwe fidia, pongezi kibao kwa jeshi n.k.
Haya ni mambo obvious ambayo huhitaji kikao cha juu kama hicho.
 
Nashangaa sana viongozi wa JWTZ wanapogoma kujiuzuru kwa madai ya kuwa JESHI SI SIASA. Nishindwa waelewa kwani jeshi lipo chini ya Wizara ya Ulinzi ambayo msingi wa Siasa, na inaongozwa na Waziri ambaye nae ni Mwanasiasa! Hapa wanapaswa kujiuzuru kwa ile tunasema MINISTERIAL RESPONSIBILITY, Wanapaswa jiuzuru coz hili c tukio lao la kwanza, wanatakiwa wawe Accauntable (wawajibike) kwa matendo yao, wajiuzuru kuepuka balaa siku za usoni, wajiuzuru coz siku 3 kabla ya milipuko walifanya ukaguzi ulioshindwa baini tatizo na pengine yaweza kuwa wao ndio chanzo cha hyo milipuko, wajiuzuru kwa sababu wamelitia taifa hasara, kwan siku c nyingi waliingiza silaha mpya ambazo nazo zimeteketea, viongozi wa jeshi wajiuzuru kwa sababu waweshindwa kutulinda, wamesababisha vifo vya raia na kutishia usalama wa taifa. Ni jambo la kushangaza kwa jeshi lililokuwa bega kwa bega na kampeni za uchaguzi kukana leo kuwa sio la siasa. Wote twajua jeshi letu limejawa na wanasiasa wenye kadi za chama fulani, wanaosubilia nafasi fulani serikalini, so WAJIUZURU KWA SABABU ZA KISIASA "ministerial responsibility", wajiuzuru kwa kuwa wemeshindwa tupa ulinzi sisi raia!
 
Back
Top Bottom