Maandamano ya Karagwe ktk picha

Maandamano ya Karagwe ktk picha

CDM songa mbele kelele za mpita njia, msafiri, mpiga debe na msanii zisiwanyime usingizi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kama ni hivyo waulize JK, Wassira, Chiligati, Pinda na Tendwa mbona wanapagawa na watu wasiozidi asilimia 10?

Hoja yangu sio kwamba hawo asilimia tano au kumi hawawezi kuleta madhara katika utawala au usalama wa nchi. Maandamano hata ya watu hamsini yanaweza kuleta madhara katika utawala na usalama wa nchi. Suala mhimu ni uhalali wa kisheria na kikatiba. Je watu hao wanawakilisha matashi ya majority ya watanzania kiasi cha kuwa na departure kutoka katika matokeo ya uchaguzi uliyofanyika hivi karibuni? Ni nani anayelinda maslahi ya watu wengi wasiounga mkono maandamano ya kuishinikiza serikali iondoke madarakani kama isipotekeleza matakwa fulani? Ni nini kigezo halali na cha kisheria kuweza kujua kama hawa wanaoishinikiza serikali kuondoka madarakani kwa njia ya maandamano wanawakilisha majority?

Nijuavyo mimi, katika nchi yoyote inanyotawaliwa kwa misingi ya katiba na sheria, jaribio la kuiondoa serikali madarakani kwa njia ya maandamano ni haramu labda tu kama kuna mazingira yanayohalalisha hali ya kutokuwepo na sheria. Kwa misingi hiyo maandamano yenye dhamira kama hiyo yatakuwa yanafanyika nje ya sheria na nje ya vyama vya siasa maana vyama vya siasa vipo chini ya sheria.
 
haya ni mapokezi ya kagera wanachama wana kadi za chama chao

IMG_2574-1.JPG

Kadi zenyewe za uanachama ni mpyaaaaaaaaaa kabisa, hao wazee hapo wanaumri zaidi ya miaaka sitin lakini cha kushangaza kadi walizoshika zina umri wa wiki moja toka zichapishwe, Ndiyo maana huyo mtot hapo kushoto ameshika tamaa, anashangaa jinsi watu wanavyopenda rushwa, lakini masikini kujana wa watu hana la kusema Ila ameonyesha ukomavu.
 
Mkwere lazima aishi kwa pressure siku zake za mwisho
 
Back
Top Bottom