acha ushamba mkuda wewe! watu kama nyie mnaboa sana mtu kauliza swali linalotaka maelezo yakitalaamu wewe unakurupuka!
kisa hiyo simu uliyonunuliwa! saburi zako!
mkuu punguza jazba amekuelewa!
back to the topic!
inaboa sana,nipamoja hizi...
1.mtu anakula msosi halafu anatafuna kama paka!
2.unakaa na mshikaji gheto(room) jamaa kila mara anavaa nguo zako bila ruhusa!
3.mtu anakuja gheto ananuka miguu halafu anavua viatu harufu inatoka mbaya!
4.mtu anakula...
namimi niungane nawengine kukupongeza prof! maanayake ule mjadala wa bakwata kunawatu wanaukomalia sana! safi kwakutoa elimu ya bure kwa bakwata! na wote wenye mawazo mgando kama hao!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.