Recent content by juniornduti

  1. J

    Mradi wa maji Butimba umekwama, wafanyakazi wagoma

    Inauma sana mtu uko karibu na ziwa lakini maji ya shida.
  2. J

    Big Brother Titans (South Africa vs Nigeria)

    Hii week anatoka Yaya na mtu wake
  3. J

    Yanayoitwa maandamano ya Zitto Mwandiga: Hayakuwa na BARAKA za wanachama

    Wapanga!! Nakusoma hapa siku nyingi dada yangu!
  4. J

    Mademu wa KISUKUMA ORIGINAL, Bila ya Mkorogoooooo

    go nhana o'gwise!
  5. J

    msaada mwenzenu bundles zinaisha haraka..

    acha ushamba mkuda wewe! watu kama nyie mnaboa sana mtu kauliza swali linalotaka maelezo yakitalaamu wewe unakurupuka! kisa hiyo simu uliyonunuliwa! saburi zako!
  6. J

    Aaaaaargghhhhh!! uchafu mtupu na hizi toothpick zenu...

    mkuu punguza jazba amekuelewa! back to the topic! inaboa sana,nipamoja hizi... 1.mtu anakula msosi halafu anatafuna kama paka! 2.unakaa na mshikaji gheto(room) jamaa kila mara anavaa nguo zako bila ruhusa! 3.mtu anakuja gheto ananuka miguu halafu anavua viatu harufu inatoka mbaya! 4.mtu anakula...
  7. J

    Kuwasoma watu their 'body language'

    nimejifunza kitu hapa!
  8. J

    I have to do...ila isiwe Arusha

    mkuu acha kuhukumu gamba la kitabu! minataka kumpa msaada (njia mbadala ya kuzuia mihemko)
  9. J

    I have to do...ila isiwe Arusha

    maria kwahiyo wewe unanijua mimi?
  10. J

    Watanzania wanapenda sana topic nyepesi

    mkuu unachosema nikweli! kuna jukwaa la afya watu kule mibnafsi huwa wananiboa sana! badala yakutupatia utalaamu wako tukaelimika mtu analeta utani!
  11. J

    Prof. Safari awajibu wanazuoni wa kiislamu kuhusu DC

    namimi niungane nawengine kukupongeza prof! maanayake ule mjadala wa bakwata kunawatu wanaukomalia sana! safi kwakutoa elimu ya bure kwa bakwata! na wote wenye mawazo mgando kama hao!
  12. J

    namna nzuri za kujizuia kuwaka tamaa za mwili

    simple! piga mgalala,ndugu yangu!
  13. J

    Dr Slaa, Lema wafunika Monduli

    mkuu ulikosa avatar kabisa? pole ndugu yangu!
Back
Top Bottom