Wanajamvi, naomba kuuliza, hivi kupima au kujua Chuo kuwa ni bora kielimu au pagumu tunatumia kigezo cha idadi ya wanafunzi wanaokuwa discontinued kutokana na academic performance au kinatumika kigezo gani?
Maana Vyuo vingine utasikia ugumu wake au ubora wake they base kwenye number of...
we unataka watu wafe, kuna Chuo kama Mzumbe unaujua mziki wake? kupita one semester kwenda nyingine ni ngumu kuliko mafunzo ya Jeshi, hlf waongeze na ugumu zaidi kwenye udahili? kha
sidhani kaul ya Maguful ni ya kufuta TCU au kufuta CAS, mwanafunzi hata kupitia CAS anaweza kuomba chuo/vyuo anavyotaka, cha msingi achaguliwe ktk among vyuo alivyoomba, na baadhi ya vyuo viache kwenda kufanya robbing maana wakiona kuna mtu kachagua chuo chao hata kama ni last option na ana sifa...
UDSM waache tamaa, Medicine kwa wao haina mashiko kutokana na miundo mbinu lakini ukizingatia kuwa MUHAS alikuwa mtoto wake, sasa asitake kushindana na mtoto wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.