Gharama za kusoma Canada zipoje?

Mkuu sasa kusomea Plumber Welder etc lazima usomee bongo kabla ya kuomba kazi Canada au unaweza kuomba kusoma Canada
Alberta ni province nzuri kuanzia maisha wana privilege nyingi toka serikalini. Unafuu wa kodi....
Ukisoma huko Bongo itanachukua process nying kuweza kufanya kazi Canada vizuri ni kusomea Canada tu
 
Canada ni nchi ya 10 Duniani kwa uchumi mkubwa huku pato la wastani wa kila mwananchi ni $47,771 pamoja na kuwa nchi ya 10 kiuchumi mkubwa ni nchi ya pili Duniani kwa Maendeleo makubwa ya kijamii ambayo yanajumuisha vitu 3

1 Mahitaji ya Msingi ya Binadamu, ambayo yanajumuisha huduma za matibabu, usafi wa mazingira, na makazi bora
2 Misingi ya Ustawi, ambayo inashughulikia elimu ,Upatikanaji wa Techinologia kwa wananchi pamoja na life expectancy.
3Fursa za ajira ,uhuru wa kuchagua na kuabudu ,haki za binadamu

Kuhusu kupata kazi za professional kazi zipo lakini kunavitu lazima uwe navyo kuzipata hzo kazi za professional kwanza unaitaji kupata kibali cha kufanyia kazi (Work Permit) ambapo kwa Canada zipo za aina mbili
1 Open work permits
Kibali hiki kinakuwezesha kufanya kazi kwa mwajiri yeyote ndani ya Canada lakini mwajiri wako ni lazima awe na sababu za kutosha kwa nini amekuajiri wewe na si Mcanada

2 An employer-specific work permit
Kibali maalum cha kazi kinachowezesha kufanya kazi kulingana na masharti ya kibali chako cha kazi, mara nying ni kwa kazi zisizo na ujuzi (unskilled jobs) kwani Canada kazi zipo katika category 3 ambazo ni
1 Professional
2 Skilled
3 Unskilled
Kupata kazi ya A class ambayo ni za Professional ni ngumu sana narudia tena ni ngumu sana sidhani kama ww unaweza kuwa na ujuzi au weredi wa kuajiriwa ww na akaachwa mcanada pili vigezo vya kupata kazi ni vingi sana pia utapitia kwenye test zaidi ya tatu au nne ili kuweza kuqualify standard za kufanya kazi Canada kwenye Professional jobs

Sijui umesomea nini lakini ningekushauri kupata kazi za daraja ya Pili yani B Class ambazo ni Skilled ni nzuri sana na malipo yake ni makubwa sana na kupata ni vyepesi hasa kazi za Trades work zipo kazi ya TW zaidi ya 32 lakini nakutajia 4 best kwa Cadana amabzo kipato chake kwa mwaka ni zaidi ya $51,000 -75,000 Kazi hizo ni
1 Electrician
2 Plumber
3 Welder
4 Construction
Kama unataka kusoma Trust me soma hizo Course hutojuta
Nashukuru sana Mimi sio mwanafunzi nilikuwa nataka kujua tu na kusaidia watu. Mimi nipo Texas 20 years sasa! next summer nataka nije tena Toronto nilikuja 2014 kutembea. Ningependa kuonana na Watanzania wenzangu huko tuongea mambo ya maendeleo na jinsi ya kusaidiana hasa kwa vijana wetu
 
Mkuu shukurani kwa ufafanuzi ila ningependa utusaidia maelezo kidogo kwa mtu anayetaka kuja uko kusomea hizo fani
 
Baada ya Ulinzi na Usalama kinachofata ni Afya na Elimu bila kuwa na elimu bora na huduma bora za afya ndani ya Taifa ,lazima taifa lako litakua ni taifa la wapumbavu na wagonjwa
mkuu vipi kwa course ya dental lab technology kwa Canada haiko more considered Sana?? Nieleweshe mkuu
 
mkuu vipi kwa course ya dental lab technology kwa Canada haiko more considered Sana?? Nieleweshe mkuu
Sijajua unachotaka kujua juu ya course hii lakini ni moja ya course nzuri na yenye kipato kizuri yani kuanzia $ 49,412 kwa mwaka au $ 25 kwa saa huku kwa anaeingia kazini huanza na $ 35,000 wakati wafanyakazi wenye ujuzi au uzoefu wengi hupata $ 69,000.kwa mwaka Meno na Wanyama ni big deal sana yani Dental Technologist na veterinarian
 
kaka gharama za kusoma canada ni very expensive kwa international student naongea kama expericed person may be baba yako awe fisadi au capitalist njia rahisi nenda kama kutembea then unazamia unatafuta makaratasi then unasoma kiurahisi saaaana mind you hakuna visa ngumu kupata kama ya canada duniani hapa
Mmmh are you sure? mbona MUNF sio bei kubwa mkuu? kua visa ya canada inaizidi Australia? anyway huo ni ufahamu wako
 
Na je, kwa anayehitaji Kwenda kufanya Masters hasa za ICT/Computer Science fursa zipo? Na scholarship je?
Kwa Australia utapeta zaidi aisee, tafuta student visa kwa internationa student unatakiwa kuwa na dollar 18,100 kwenye acc yako na ada ya semester moja (around aud4500) na health insurance ya mwaka mmoja, gharama ya visa ni kama aud610. So roughly ukiwa na Tsh 40,000,000 unaweza fanikiwa kusoma masters yako ya IT na ni demand course unapewa mwaka mmoja kuishi na kutafuta kazi kwa kutumia bridging visa...IT lazima ufanikiwe aiseeee mark my words
 
Sijajua unachotaka kujua juu ya course hii lakini ni moja ya course nzuri na yenye kipato kizuri yani kuanzia $ 49,412 kwa mwaka au $ 25 kwa saa huku kwa anaeingia kazini huanza na $ 35,000 wakati wafanyakazi wenye ujuzi au uzoefu wengi hupata $ 69,000.kwa mwaka Meno na Wanyama ni big deal sana yani Dental Technologist na veterinarian

Mkuu kwa course ya Veeriary laboratory technology je, kwa mtu mwenye diploma kuja huko kusoma inakuaje na kupiga deal la ambalo sio professional je?
 
Canada ni nchi ya 10 Duniani kwa uchumi mkubwa huku pato la wastani wa kila mwananchi ni $47,771 pamoja na kuwa nchi ya 10 kiuchumi mkubwa ni nchi ya pili Duniani kwa Maendeleo makubwa ya kijamii ambayo yanajumuisha vitu 3

1 Mahitaji ya Msingi ya Binadamu, ambayo yanajumuisha huduma za matibabu, usafi wa mazingira, na makazi bora
2 Misingi ya Ustawi, ambayo inashughulikia elimu ,Upatikanaji wa Techinologia kwa wananchi pamoja na life expectancy.
3Fursa za ajira ,uhuru wa kuchagua na kuabudu ,haki za binadamu

Kuhusu kupata kazi za professional kazi zipo lakini kunavitu lazima uwe navyo kuzipata hzo kazi za professional kwanza unaitaji kupata kibali cha kufanyia kazi (Work Permit) ambapo kwa Canada zipo za aina mbili
1 Open work permits
Kibali hiki kinakuwezesha kufanya kazi kwa mwajiri yeyote ndani ya Canada lakini mwajiri wako ni lazima awe na sababu za kutosha kwa nini amekuajiri wewe na si Mcanada

2 An employer-specific work permit
Kibali maalum cha kazi kinachowezesha kufanya kazi kulingana na masharti ya kibali chako cha kazi, mara nying ni kwa kazi zisizo na ujuzi (unskilled jobs) kwani Canada kazi zipo katika category 3 ambazo ni
1 Professional
2 Skilled
3 Unskilled
Kupata kazi ya A class ambayo ni za Professional ni ngumu sana narudia tena ni ngumu sana sidhani kama ww unaweza kuwa na ujuzi au weredi wa kuajiriwa ww na akaachwa mcanada pili vigezo vya kupata kazi ni vingi sana pia utapitia kwenye test zaidi ya tatu au nne ili kuweza kuqualify standard za kufanya kazi Canada kwenye Professional jobs

Sijui umesomea nini lakini ningekushauri kupata kazi za daraja ya Pili yani B Class ambazo ni Skilled ni nzuri sana na malipo yake ni makubwa sana na kupata ni vyepesi hasa kazi za Trades work zipo kazi ya TW zaidi ya 32 lakini nakutajia 4 best kwa Cadana amabzo kipato chake kwa mwaka ni zaidi ya $51,000 -75,000 Kazi hizo ni
1 Electrician
2 Plumber
3 Welder
4 Construction
Kama unataka kusoma Trust me soma hizo Course hutojuta
Inawezekana kweli ni ngumu kupata kazi ya professional maana Dr slaa na PhD yake alikuwa anauza supermaket
 
Canada ni nchi ya 10 Duniani kwa uchumi mkubwa huku pato la wastani wa kila mwananchi ni $47,771 pamoja na kuwa nchi ya 10 kiuchumi mkubwa ni nchi ya pili Duniani kwa Maendeleo makubwa ya kijamii ambayo yanajumuisha vitu 3

1 Mahitaji ya Msingi ya Binadamu, ambayo yanajumuisha huduma za matibabu, usafi wa mazingira, na makazi bora
2 Misingi ya Ustawi, ambayo inashughulikia elimu ,Upatikanaji wa Techinologia kwa wananchi pamoja na life expectancy.
3Fursa za ajira ,uhuru wa kuchagua na kuabudu ,haki za binadamu

Kuhusu kupata kazi za professional kazi zipo lakini kunavitu lazima uwe navyo kuzipata hzo kazi za professional kwanza unaitaji kupata kibali cha kufanyia kazi (Work Permit) ambapo kwa Canada zipo za aina mbili
1 Open work permits
Kibali hiki kinakuwezesha kufanya kazi kwa mwajiri yeyote ndani ya Canada lakini mwajiri wako ni lazima awe na sababu za kutosha kwa nini amekuajiri wewe na si Mcanada

2 An employer-specific work permit
Kibali maalum cha kazi kinachowezesha kufanya kazi kulingana na masharti ya kibali chako cha kazi, mara nying ni kwa kazi zisizo na ujuzi (unskilled jobs) kwani Canada kazi zipo katika category 3 ambazo ni
1 Professional
2 Skilled
3 Unskilled
Kupata kazi ya A class ambayo ni za Professional ni ngumu sana narudia tena ni ngumu sana sidhani kama ww unaweza kuwa na ujuzi au weredi wa kuajiriwa ww na akaachwa mcanada pili vigezo vya kupata kazi ni vingi sana pia utapitia kwenye test zaidi ya tatu au nne ili kuweza kuqualify standard za kufanya kazi Canada kwenye Professional jobs

Sijui umesomea nini lakini ningekushauri kupata kazi za daraja ya Pili yani B Class ambazo ni Skilled ni nzuri sana na malipo yake ni makubwa sana na kupata ni vyepesi hasa kazi za Trades work zipo kazi ya TW zaidi ya 32 lakini nakutajia 4 best kwa Cadana amabzo kipato chake kwa mwaka ni zaidi ya $51,000 -75,000 Kazi hizo ni
1 Electrician
2 Plumber
3 Welder
4 Construction
Kama unataka kusoma Trust me soma hizo Course hutojuta
samahani sana mkuu kwa kipindi hiki kwa canada kwa njia raisi ya kufika huko utumie njia gani
 
Nimeweka hizo nne kutokana na umuhimu wake na wepesi wake sidhani kama utaitaji kuwa na akili sana au IQ kubwa kusoma fani hizo kinachoitajika ni uelewa wa kawaida sana pia kuna kitu unatakiwa kujua binadamu yeyote unatakiwa kufikiria about ur future coz ndio tunaigopa kuliko past .

Canada ina eneo la 9.985 million km² na idadi ya watu 36.29 million wakati US ina eneo la 9.834M km² na idadi ya watu 323.1 million so Canada ni kubwa kuliko US na Idadi ya watu ni wachache kuliko Tanganyika na Zanzibar kwa pamoja so Inamaana katika 100% ya Canada ni 20% ya eneo ndio kuna watu na harakati za binadamu zinafanyika so 80% bado na Tunapokwenda Duniani inazidi kuongezeka na watu wanazidi kuamia sehemu mbalimbali na Canada ,Australia na Scandinavian country ndio Target ya watu mbalimbali kutoka duniani so watu hawa wataitaji makazi na kwenye makazi ndipo utapata
1 Electrician
2 Plumber
3 Welder
4 Construction
Hizi ndio kazi pekee Duniani na Ulaya hazijapata threat na zinaendelea kukua kila siku tofauti na kazi zingine ambazo zinatishiwa kuja kuchukuliwa na Robots au Machine

Kuhusu kuapply unaweza kuapply popote tu kama unavyapply vyuo vingine utaratibu ni uleule tu advantage ya kozi hizi tofauti na kozi zingine ambazo watu wanakwenda kusoma nje ni

Kozi inachukua miaka 5 lakini Darasani unakaaa masaa 300 tu lakini kazini unakaa masaa 9000 kwa Ontario na kwingine ndani ya Canada ni masaa 8000

UFAFANUZI
Ukianza course hizi unakwenda vyuo vya ufundi vigezo ni elimu ya High School au Grade 12 kwa Canada yote au Grade 10 kwa Ontario au Elimu ya Certificate au Diploma nimetofautisha Ontario kwa sababu Cnada kuna majimbo 18 ambayo kila jimbo lina sheria zake so sheria za Ontario ni tofauti kidogo na zingine so unakwenda chuo unasoma darasani kwa masaa 300 ambayo ni kama siku 25, then unafanya mtihani ukipass unapatiwa cheti kinachoitwa Certificate of Apprenticeship ukipata cheti unakwenda kufanya field ambayo unatakiwa kufikisha masaa 9000 kwa Ontario au 8000 kwa Canada yote katika kufanya Field hyo unapatiwa working permit kwa sababu utakuwa unafanya kazi na kulipwa wakati unasoma na malipo yako yatakuwa ni $15-20 kwa saa kama Apprentices Electricians chuo unakuwa unakwenda kwa mwezi mara 4 tu kupeleka report ya maendeleo yako ya kazi ambayo inakuwa imesainiwa na msimamizi wako wa kazi au field ambae ni journeyperson electricians ukimaliza masaa yako 9000 au 8000 ambayo ni miaka 4-5 kwenye Field unakwenda kufanya mtihani na ukipass kwa kiwango cha kuanzia 70% ndio unakuwa journeyperson electricians yani fundi kamili same na fani zingine kama
1 Electrician
2 Plumber
3 Welder
4 Construction
Fani zote njia ya kusomea ni zilezile
Dah bro umefafanua vizur sana aise sasa kwa mimi apa na elimu yangu ya form four esabu nilizungusha zero, inakuwaje? Naweza ku apply?
 
Nimeweka hizo nne kutokana na umuhimu wake na wepesi wake sidhani kama utaitaji kuwa na akili sana au IQ kubwa kusoma fani hizo kinachoitajika ni uelewa wa kawaida sana pia kuna kitu unatakiwa kujua binadamu yeyote unatakiwa kufikiria about ur future coz ndio tunaigopa kuliko past .

Canada ina eneo la 9.985 million km² na idadi ya watu 36.29 million wakati US ina eneo la 9.834M km² na idadi ya watu 323.1 million so Canada ni kubwa kuliko US na Idadi ya watu ni wachache kuliko Tanganyika na Zanzibar kwa pamoja so Inamaana katika 100% ya Canada ni 20% ya eneo ndio kuna watu na harakati za binadamu zinafanyika so 80% bado na Tunapokwenda Duniani inazidi kuongezeka na watu wanazidi kuamia sehemu mbalimbali na Canada ,Australia na Scandinavian country ndio Target ya watu mbalimbali kutoka duniani so watu hawa wataitaji makazi na kwenye makazi ndipo utapata
1 Electrician
2 Plumber
3 Welder
4 Construction
Hizi ndio kazi pekee Duniani na Ulaya hazijapata threat na zinaendelea kukua kila siku tofauti na kazi zingine ambazo zinatishiwa kuja kuchukuliwa na Robots au Machine

Kuhusu kuapply unaweza kuapply popote tu kama unavyapply vyuo vingine utaratibu ni uleule tu advantage ya kozi hizi tofauti na kozi zingine ambazo watu wanakwenda kusoma nje ni

Kozi inachukua miaka 5 lakini Darasani unakaaa masaa 300 tu lakini kazini unakaa masaa 9000 kwa Ontario na kwingine ndani ya Canada ni masaa 8000

UFAFANUZI
Ukianza course hizi unakwenda vyuo vya ufundi vigezo ni elimu ya High School au Grade 12 kwa Canada yote au Grade 10 kwa Ontario au Elimu ya Certificate au Diploma nimetofautisha Ontario kwa sababu Cnada kuna majimbo 18 ambayo kila jimbo lina sheria zake so sheria za Ontario ni tofauti kidogo na zingine so unakwenda chuo unasoma darasani kwa masaa 300 ambayo ni kama siku 25, then unafanya mtihani ukipass unapatiwa cheti kinachoitwa Certificate of Apprenticeship ukipata cheti unakwenda kufanya field ambayo unatakiwa kufikisha masaa 9000 kwa Ontario au 8000 kwa Canada yote katika kufanya Field hyo unapatiwa working permit kwa sababu utakuwa unafanya kazi na kulipwa wakati unasoma na malipo yako yatakuwa ni $15-20 kwa saa kama Apprentices Electricians chuo unakuwa unakwenda kwa mwezi mara 4 tu kupeleka report ya maendeleo yako ya kazi ambayo inakuwa imesainiwa na msimamizi wako wa kazi au field ambae ni journeyperson electricians ukimaliza masaa yako 9000 au 8000 ambayo ni miaka 4-5 kwenye Field unakwenda kufanya mtihani na ukipass kwa kiwango cha kuanzia 70% ndio unakuwa journeyperson electricians yani fundi kamili same na fani zingine kama
1 Electrician
2 Plumber
3 Welder
4 Construction
Fani zote njia ya kusomea ni zilezile
Mkuu upo vzuri nitakutafuta pm
 
Vijana changamkeni ukiweza kusoma vizuri Software kama SAP na Oracle unaweza kupata kazi hata ukiwa Tanzania na ukalipwa kuanzia $55,000-$80,000 au hata zaidi kama una uzoefu. Hizi ndiyo pesa wanalipwa wahindi waliopo India. Na masomo unaweza kupata kwa search kwenye google na YouTube ni kujituma tu.

unatakiwa kuwa na internet nzuri na siku hizi naona kuna improvement
 
Back
Top Bottom