Rais Magufuli: Hakuna mpinzani atakayekanyaga kwenye serikali yangu

Rais Magufuli: Hakuna mpinzani atakayekanyaga kwenye serikali yangu

hapa ndipo utajuwa kuwa hawa wanaoingia walikuwa mapindikizi ya ccm kuua upinzani
 
Huyu jamaa ni shida:
1.Nikitoka chato nitatoa salary slip yangu
2.Hakuna nchi inayojengea wahanga nyumba
3.Hii ni mara ya kwanza Tz kutembelewa na Rais wa World bank
4.Serikali yangu sitateua mpinzani

hahahahahaha
 
Hapa mnashindwa kumuelewa vizuri RAIS magufuli.......ALikuwa ana maanaisha WAPINZANI wasio jielewa(HAPA UPINZANI USIOJIELEWA UNAJULIKANA) ndio kamwe hawezi kuingia kwenye SERIKALI YAKE..........ndio maana mpaka sasa kaegemea upande wa watu wanaojielewa ACT......Ni lini mmesikia HUYO MAMA WA ACT au KITILA wakihamaisisha UVUNJIFU WA AMANI au wakiongea PUMBA kama wafanyavyo kina LEMA,LISSU,MSIGWA???????
 
Kukosea hakukosea lakini kwanini utoe kauli za kukurupuka? Ni kutafakari kwa kina kabla hujatoa kauli ili usije kuzikimbia kauli zako moja baada ya nyingine. Na kadri zinavyokuwa nyingi ndiyo credibility na reputation zinatetereka.

Uliambiwa hayo maneno au msahafu?Sioni kama kakosea kwa kweli.
 
Hapa mnashindwa kumuelewa vizuri RAIS magufuli.......ALikuwa ana maanaisha WAPINZANI wasio jielewa(HAPA UPINZANI USIOJIELEWA UNAJULIKANA) ndio kamwe hawezi kuingia kwenye SERIKALI YAKE..........

Kwa mtazamo wako na ulichoandika, nini maana ya kujielewa??
 
Hapa mnashindwa kumuelewa vizuri RAIS magufuli.......ALikuwa ana maanaisha WAPINZANI wasio jielewa(HAPA UPINZANI USIOJIELEWA UNAJULIKANA) ndio kamwe hawezi kuingia kwenye SERIKALI YAKE..........ndio maana mpaka sasa kaegemea upande wa watu wanaojielewa......Ni lini mmesikia HUYO MAMA WA ACT au KITILA wakihamaisisha UVUNJIFU WA AMANI??????
Mbona unaongea kinyume chake?! upinzani unaojiheshimu hauwezi kukubali kuelekezwa jinsi ya kufanya kazi zake.
 
Ni kweli, hawezi kuteuwa upinzani. Lakini matawi ya chama chetu uteuzi ni kama kawaida.
 
Kukosea hakukosea lakini kwanini utoe kauli za kukurupuka? Ni kutafakari kwa kina kabla hujatoa kauli ili usije kuzikimbia kauli zako moja baada ya nyingine. Na kadri zinavyokuwa nyingi ndiyo credibility na reputation zinatetereka.

unazikumbuka kauli za lissu ',lema na msigwa dhidi ya lowassa? bila kusahau thread zako kabla mzee mamvi kuwafata huko huko?
 
Back
Top Bottom