Recent content by Junior Clinton Mr.

  1. Junior Clinton Mr.

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Aisee Mkuu Hongera sana, Nakumbuka Nilifanya Written Nikapata Above 50 lakini cutting Point yao ilikua nafkri juu ya 60. Nikapata ya Accounts Officer II. Ndio tunaendelea kufuatilia PDF. Hongera sana
  2. Junior Clinton Mr.

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Nimeona Amechaguliwa Vituo viwili tofauti🙌
  3. Junior Clinton Mr.

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Nimeona kuna mtu amelalamika jina Limerudiwa. Liko katika PDF mbili tofauti za tarehe tofauti
  4. Junior Clinton Mr.

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Alifanya Lini interview? au Alikua kwenye Database?
  5. Junior Clinton Mr.

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hizi nafasi 224 interview yake imefanyika April 15 Mwaka Huu. Mikeka Inaruka Hii tarehe isipokua Mkeka mmoja tu. Tena ulitoa Mtu mmoja
  6. Junior Clinton Mr.

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Lakini wanaita kwa interview zilizofanyika mwaka Jana Nafkiri Plus Database Mwaka Huu hawajagusa kabisa.
  7. Junior Clinton Mr.

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Tarehe 15 April ndio Oral za Uhasibu zilimalizika
  8. Junior Clinton Mr.

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Waliofanya Oral April 15 Naona Mambo Bado Bado Kidogo.
  9. Junior Clinton Mr.

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Vipi ilibadilika Mkuu?
  10. Junior Clinton Mr.

    JamiiForums Tanzania Wazo langu kwa Serikali ya Awamu ya Sita

    Ni jambo zuri lakini linahitaji Utaratibu mzuri na wa Wazi, Ushauri huu Una Tija Usipuuzwe
  11. Junior Clinton Mr.

    JamiiForums Tanzania Serikali iyape uzito magonjwa ya kisukari na presha kama ilivyo Ukimwi

    Swala la Muhimu sana Hili, Watu wetu Bado hawaelewi kabisa Kuhusu maswala ya Nutrition. Kisukari na Presha Kwa Sasa vinaweza kua hatari zaidi ya Ukimwi.
  12. Junior Clinton Mr.

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Tarehe 4 ya December 2021, Juzi TU hapa
  13. Junior Clinton Mr.

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    New Rapid Buses Stock at Ubungo Plaza
  14. Junior Clinton Mr.

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Will Smith in Serengeti Tanzania filming Welcome to Earth Series
  15. Junior Clinton Mr.

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    .
Back
Top Bottom