📖 Wafilipi 2:3–5
“Msifanye neno kwa fitina… bali kwa unyenyekevu… Iweni na nia iyo hiyo iliyo ndani ya Kristo Yesu.”
“Ambaye, yeye alikuwa katika mfano wa Mungu, wala hakuhesabu kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho.”
bali alijifanya hana utukufu, akatwaa mfano wa mtumwa, akawa...
Yesu anamwita Mungu wake (Yohana 20:17)
Ni kweli Yesu alisema:
“Mungu wangu na Mungu wenu.”
Lakini Biblia pia inafundisha kuwa Yesu alijinyenyekeza akachukua asili ya mwanadamu.
📖 Wafilipi 2:6–8
“Ambaye, yeye alikuwa katika mfano wa Mungu… lakini alijifanya hana utukufu, akatwaa mfano wa mtumwa...
Swala la Muhimu sana Hili, Watu wetu Bado hawaelewi kabisa Kuhusu maswala ya Nutrition. Kisukari na Presha Kwa Sasa vinaweza kua hatari zaidi ya Ukimwi.
Pia utambue Mfumuko wa Bei ni Upandaji Bei wa Jumla kiholela wa Bidhaa ndani ya nchi, lakini Demand and Supply inatokea Kwa baadhi ya Commodities na mara nyingi inasabishwa na Scarcity.
Kwa hiyo Mfano Leo kukiwa na Uhaba wa Mahindi automatically Bei zitakua juu kwasababu ya Uhaba huo, Kwa hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.