Recent content by Junior Clinton Mr.

  1. Junior Clinton Mr.

    Ila wakristo bana, mnaanzaje kusema Yesu ni Mungu hali ya kuwa yeye mwenyewe anakataa

    📖 Wafilipi 2:3–5 “Msifanye neno kwa fitina… bali kwa unyenyekevu… Iweni na nia iyo hiyo iliyo ndani ya Kristo Yesu.” “Ambaye, yeye alikuwa katika mfano wa Mungu, wala hakuhesabu kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho.” bali alijifanya hana utukufu, akatwaa mfano wa mtumwa, akawa...
  2. Junior Clinton Mr.

    Ila wakristo bana, mnaanzaje kusema Yesu ni Mungu hali ya kuwa yeye mwenyewe anakataa

    Mbona Nimekujibu Hapo, Simple tu au hujaelewa nikueleze tena
  3. Junior Clinton Mr.

    Ila wakristo bana, mnaanzaje kusema Yesu ni Mungu hali ya kuwa yeye mwenyewe anakataa

    Yesu anamwita Mungu wake (Yohana 20:17) Ni kweli Yesu alisema: “Mungu wangu na Mungu wenu.” Lakini Biblia pia inafundisha kuwa Yesu alijinyenyekeza akachukua asili ya mwanadamu. 📖 Wafilipi 2:6–8 “Ambaye, yeye alikuwa katika mfano wa Mungu… lakini alijifanya hana utukufu, akatwaa mfano wa mtumwa...
  4. Junior Clinton Mr.

    Wazo langu kwa Serikali ya Awamu ya Sita

    Ni jambo zuri lakini linahitaji Utaratibu mzuri na wa Wazi, Ushauri huu Una Tija Usipuuzwe
  5. Junior Clinton Mr.

    Serikali iyape uzito magonjwa ya kisukari na presha kama ilivyo Ukimwi

    Swala la Muhimu sana Hili, Watu wetu Bado hawaelewi kabisa Kuhusu maswala ya Nutrition. Kisukari na Presha Kwa Sasa vinaweza kua hatari zaidi ya Ukimwi.
  6. Junior Clinton Mr.

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Tarehe 4 ya December 2021, Juzi TU hapa
  7. Junior Clinton Mr.

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    New Rapid Buses Stock at Ubungo Plaza
  8. Junior Clinton Mr.

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Will Smith in Serengeti Tanzania filming Welcome to Earth Series
  9. Junior Clinton Mr.

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    "SGR Passenger Trains Stop Midway Over Safety Scare - Kenyans.co.ke" SGR Passenger Trains Stop Midway Over Safety Scare
  10. Junior Clinton Mr.

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hakusema wasisome, he said they will be excluded from the Free Education Plan means they will have to pay on their own not the Government
  11. Junior Clinton Mr.

    Kumbe mfumuko wa bei siyo kitu kibaya

    Pia utambue Mfumuko wa Bei ni Upandaji Bei wa Jumla kiholela wa Bidhaa ndani ya nchi, lakini Demand and Supply inatokea Kwa baadhi ya Commodities na mara nyingi inasabishwa na Scarcity. Kwa hiyo Mfano Leo kukiwa na Uhaba wa Mahindi automatically Bei zitakua juu kwasababu ya Uhaba huo, Kwa hiyo...
Back
Top Bottom