📖 Wafilipi 2:3–5
“Msifanye neno kwa fitina… bali kwa unyenyekevu… Iweni na nia iyo hiyo iliyo ndani ya Kristo Yesu.”
“Ambaye, yeye alikuwa katika mfano wa Mungu, wala hakuhesabu kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho.”
bali alijifanya hana utukufu, akatwaa mfano wa mtumwa, akawa...
Yesu anamwita Mungu wake (Yohana 20:17)
Ni kweli Yesu alisema:
“Mungu wangu na Mungu wenu.”
Lakini Biblia pia inafundisha kuwa Yesu alijinyenyekeza akachukua asili ya mwanadamu.
📖 Wafilipi 2:6–8
“Ambaye, yeye alikuwa katika mfano wa Mungu… lakini alijifanya hana utukufu, akatwaa mfano wa mtumwa...
Swala la Muhimu sana Hili, Watu wetu Bado hawaelewi kabisa Kuhusu maswala ya Nutrition. Kisukari na Presha Kwa Sasa vinaweza kua hatari zaidi ya Ukimwi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.